Tajiri mkubwa ni mimi wewe na wengineo ambao bado tunapumua siku Mungu akichukua uhai wetu utajiri wetu utakuwa umekwisha kitu pekee cha dhamani ambacho hakinunuliwi ni uhai.
"Mkuu kuna mgao nini?"Wale wazungu wasitupangie nani tajiri namba moja nchini kwetu. Hebu wenyewe tujadili kati ya hawa nani namba moja?
1. Yogesh Manek
2. Mustapha Sabodo
3. Reginald Mengi
4. Salim Bakhressa
5. Mohammed Dewiji
6. Yusuph Manji
7. Ali Mafuruki
8. Rostam Aziz
9. Jeetu Patel
10. Fidal Hussen
11. Davies Mosha
12. Oilcom
"Dewji keep it up"Davies mosha hata Mimi hanishindi awez kuwa tajiri Ila Mohamed Dewji ndio namba moja kwani angalia anafanya kila biashara you name it Mimi nakwambia kutoka kilimo mpaka viwanda pia angalia amewajiri wafanya kazi wengi kuliko mtu ama kampuni yeyote tanzania
Nimejibu kulingana na uelewe halafu sio kazi yangu kujua nani tajiri na nani ni masikini nyie vijana msio na kazi ndio mnakaa vijiweni kuwajadili hao watu.Acha kujipa moyo na kumsingizia Mungu hapa jibu swali wenzio waliokuuliza, uhai ni given endelea baada ya kupata uhai we unao uhai unambwela mbwela wenzio wanajituma 24/7 with entrepreneurial traits kibao bado unalingia uhai ambao hauna control nao?
Umeelewa maada lakini??Tajiri mkubwa ni mimi wewe na wengineo ambao bado tunapumua siku Mungu akichukua uhai wetu utajiri wetu utakuwa umekwisha kitu pekee cha dhamani ambacho hakinunuliwi ni uhai.