Mpira wa kurushwa ukiingia golini bila kuguswa ni Goli maana kurusha kwa mikoni nitofauti na mpira wa kuucheza kwa mkono ambayo ni faul so ni moja ya mchezo
Ccm ni wala rushwa tu wale hawana lolote kabisa yaana mwaka huu wametoka Futuhi nilikua wapenzi wao lakini sasa majitoaa tu maana hakuna namna nyingine acheni Uccm mmekwisha wezi watupu
Inategemeana na ukanda ulipo wewe kama ni baridi au joto na pia kama unasubiri tu mvua au kuna maji mda wote kwanza uko wapi kama vip ni PM nikuelekeze
Unaweza kudroo salio liliopo tu na salio halisi inaonesha kiwango chote cha fedha hata ile ya kulinda uccount ila huwezi kutoa yote lazma ibaki ya kulinda
Uusikilize moyo wako unataka kufanya nn ila somo hili ni kubwa na nipana sana maana kuna sadaka za aina mbalimbali mf: Fungu la kumi, Nathiri,Shukurani nk. So it need more explanation
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.