We goli la wapi hilo unajua mpira wa miguu toka lini goli likafungwa kwa mikono au si mpira wa miguu unaozungumzwa hapa
Wana sport, nisaidieni kwa hili swala
hivi, mpira wa kurushwa , ukirushwa moja kwa moja golini bila kuguswa na mchezaji yeyote na ukatinga nyavuni inakuwa Goli au sio Goli????
make kuna utata Hapa