Kati ya huawei y530 na Tecno h6 ipi bora?!

Kati ya huawei y530 na Tecno h6 ipi bora?!

kuna moto E tatu kaka

-moto e ya kwanza ya zamani
-moto e ya 2015 yenye snapdragon 200
-moto e ya 2015 yenye snapdragon 401

hio yenye snapdragon 401 ndio nzuri zaidi na huawei y550 pia ina snapdragon 401.

kwanini hii moto e ya 2015 ndio best budget smartphone kwa sasa
- ina 4g lte hivyo utaenjoy tigo na smart 4g hapa tz
-snapdragon 401 ipo fast kuliko hata phantom z na almost mediatek chip zote kwenye single thread (kasoro helio 10), na gpu yake ni adreno 306 nayo sio mbaya
-inakaa sana na chrage, hii ni score yake gsmarena
gsmarena_002.jpg

hivyo una uhakika atleast masaa 6 ya kipower user
-camera yake ya 5mp ni nzuri kuliko 5mp nyingi. icheki hapa
Motorola Moto E (2nd Gen) review: E for Evolved - page 7 - GSMArena.com
-front camera ipo kwenye moto e mpya, ya zamani ilikuwa haina
-pia internal memory ni 8gb atleast utaweza eka vitu vingi compare na 4gb.
-motorola android yake ni kama stock android haukuti built in apps nyingi hivyo simu zao zinakuwa fast compare na oem kama samsung au tecno ambao wanakujazia appsd kibao zisizofutika hadi uroot simu.

kuhusu removable battery hii moto e haitoki lakini haimaanishi haibadilishiki unaweza ibadilisha sema hadi ufungue simu
moto-e-battery.jpg

ukichunguza hio picha utaona battery inaonekana lakini huwezi itoa hadi utoe cover zima la nyuma la simu sababu imezibwa

Moto e 401 sh ngapi?
 
Kuwa makini sana na huo mtaa una vitu fake na simu za t-mobile nyingi.

Kwa laki 2 Moto g usifkirie Mara ya pili nunua. Ila make sure
1. Ni original kwa kutumia CPU z
2. Inakubali 3g

Pia kuna Moto g ya zamani yenye 8gb bila memory card, Ni nzuri pia ila nakwambia tu uwe aware.

Chief-Mkwawa Asante kwa kunitahadharisha, naomba ufunguke kuhusu hizi simu za t.mobile maana nimekuwa nikiziona mara kwa mara ila sijui tofauti yake na hizi nyingine. Pia nahitaji kujua High End smartphone inayokaa chaji muda mrefu kuliko zote ikiwa unatumia kipower user
 
Last edited by a moderator:
Hili swali kama siku mbili tatu hivi nilimsikia mchizi anaulizia ktk duka la simu kuwa wanataka wabadilishane na mtu simu kati ya H6 na huawei y530 Ipi ni nzuri,alie kuwa anaulizia yeye ana H6 so anataka ampe mtu then huyo mtu ampe y530.
Sina hakika kama ni wewe ndie umeweka huu uzi anyway sikiliza wadau wanasemaje sababu wewe umesema unataka kununua.
 
Chief-Mkwawa Asante kwa kunitahadharisha, naomba ufunguke kuhusu hizi simu za t.mobile maana nimekuwa nikiziona mara kwa mara ila sijui tofauti yake na hizi nyingine. Pia nahitaji kujua High End smartphone inayokaa chaji muda mrefu kuliko zote ikiwa unatumia kipower user

T-mobile frequency Yao ya 3g Ni 1700mhz huu Ni mtandao wa simu WA marekani na baadhi ya nchi ulaya. Hio frequency wanayo wao tu dunia nzima

Wanauza simu bei rahisi sana (walikua wanauza Lumia 521 dola 19 tu)

Wanauza bei rahisi sababu wanajiamini simu zao hata ukichakachua hutapata 3g. Wabongo kwa kupenda kulalia wenzetu tunazinunua na kuwashkisha watu huku.
 
Last edited by a moderator:
Hili swali kama siku mbili tatu hivi nilimsikia mchizi anaulizia ktk duka la simu kuwa wanataka wabadilishane na mtu simu kati ya H6 na huawei y530 Ipi ni nzuri,alie kuwa anaulizia yeye ana H6 so anataka ampe mtu then huyo mtu ampe y530.
Sina hakika kama ni wewe ndie umeweka huu uzi anyway sikiliza wadau wanasemaje sababu wewe umesema unataka kununua.



Hapana mkuu, huyo jamaa aliyetaka kubadirishana simu sio mimi..!

Mimi nimeomba ushauri tu kwa wanaozijua vizur hizo simu, maana nina mpango wa ku buy one!

Lakin any way, nawashukuru wote walionipa ushauri, coz wamenifungua macho sana! na hii ndio faida ya JF..! Unadhani bila JF haya maunjanja tungejulia wapi?!

Asanteni sana #ChiefMkwawa na wengine wote kwa ushaur mlionipa!
 
Moto e hiyo ya 2015 hapa dsm inapatikana wapi bandugu
 
T-mobile frequency Yao ya 3g Ni 1700mhz huu Ni mtandao wa simu WA marekani na baadhi ya nchi ulaya. Hio frequency wanayo wao tu dunia nzima

Wanauza simu bei rahisi sana (walikua wanauza Lumia 521 dola 19 tu)

Wanauza bei rahisi sababu wanajiamini simu zao hata ukichakachua hutapata 3g. Wabongo kwa kupenda kulalia wenzetu tunazinunua na kuwashkisha watu huku.

Chief-Mkwawa Ipi ni High End Smartphone inayoka na chaji muda mrefu ikiwa unatumia ki power user
 
Last edited by a moderator:
Chief-Mkwawa Ipi ni High End Smartphone inayoka na chaji muda mrefu ikiwa unatumia ki power user

galaxy s6 active, sema haijakaa ki fashion kama s6 yenyewe ila ni simu nzuri sana kwa power user.

gsmarena_002.jpg


pia xperia z3 compact ni nzuri
 
Last edited by a moderator:
Wengi wanachangia wakiwa na hisia ya kutoipenda tecno labda sababu zipo kibao mtahani lakini kama unatumia Huawei y530 ipo nyuma sana kwa tecno h6 specifications zake h6 zipo juu na tena kwa uzoefu wangu watanzania wengi wana line mbili tatu za simu kama ni hivyo basi badala ya kutafuta show ni muhimu kuna na simu moja inatosha inatunza moto na mambo mengi mazuri
 
Wengi wanachangia wakiwa na hisia ya kutoipenda tecno labda sababu zipo kibao mtahani lakini kama unatumia Huawei y530 ipo nyuma sana kwa tecno h6 specifications zake h6 zipo juu na tena kwa uzoefu wangu watanzania wengi wana line mbili tatu za simu kama ni hivyo basi badala ya kutafuta show ni muhimu kuna na simu moja inatosha inatunza moto na mambo mengi mazuri
vipi kati ya h6 na hii y6 IPI bora.
 
Y6 ni toleo jipya baada ya h6 specification zipo karibu sawa but y6 ina mwonekano mzuri na kioo chake 5inch
 
Y6 ni toleo jipya baada ya h6 specification zipo karibu sawa but y6 ina mwonekano mzuri na kioo chake 5inch

y600 pia ina 512mb ram kama 530, msinunue android ya 512mb ram 2015 unless ni chini ya 100,000. -
 
jamani msaidini mlala hoi mwenzetu.ktk hizo Simu h6 na y530 ugonjwa wake una fanana maana kila siku huwa tuna zipokea!H6 kwanza system charge.2.Ina tatizo la kuuwa display Hilo ndio kubwa zaidi.hii Simu Ina uwezo mkubwa wakaiwekea circuit ndogo sasa ndio sababu ya kua inapata moto...huawei kua Kuna application unapozi download tambua Simu inaweza kusumbua na isiwe na solutioni.kama pesa IPO kiasi nunua tecno l7 .....r7.hiyo l7 charge ni uwakika kaka.achana y530.una pesa Huawei p6 p7 ndio ziko bomba..kwa USHAURI....0754 60 45 67
 
Back
Top Bottom