USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 11,718
- 27,816
Halafu jambo lengine wanalo kosea mara kwa mara (mtazamo wangu), yaani ninavyoamini wao wapo Mwanza na wanarekodi michezo yao Mwanza hukox2, ila kitendo cha kutaja taja majina ya maeneo ya mji wa Dsm, mara kwa mara, ni kujiaibisha kwa kweli. Kwa nini wasitamke maeneo waliopo ili kulitangaza jiji la Mwanza? Mfano, Leo Okechi alipofungua kipindi, kasema yupo kigamboni, na nijuavyo mimi, Tanzania hii, kigamboni maarufu ipo Dsm tu. Haya wengine nao wakataja mbagala kwa azizi ally. Ni ULIMBUKENI kwa kweli.
nani kakwambia wapo mwanza tu ,kama hujui uliza sio kupopoma humu sisi tunakuona mjinga