Siku chache zilizopita ilikuwa sikukuu ya vyombo vya habari,na katika siku hiyo kubwa liliozungumzwa ni uhuru wa vyombo vya habari,kwa kweli tunapenda vyombo vya habari viwe huru,lakini uhuru huo usitumiwe kupotosha jamii ili wanahabari wajinufaishe kwa kuuza habari zisizo sahihi,mimi hakuna...