Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
Kuna wakati Rais wa Tanzania anasafiri kwenda nchi za nje na msafara wa wafanya biashara wa Kitanzania. Au anaitisha mkutano na wafanyabiashara wa ndani hapa hapa nchini. Cha kushangaza kwenye misafara au mikutano hiyo karibu asilimia 98% huwa ni wafanya biashara wa Wahindi..eti hao ndio wafanyabiashara wa ki-Tanzania.....hivi miaka yote tangu Nyerere hadi JK wameshindwa kuwasaidia wajasiria mali wazalendo kujenga biashara kubwa kama Wahindi? Au waona raha hali ikiendelea kuwa hivyo?
Hii inasikitisha na ninachelea kusema tunahitaji "Native Economic Empowerment" mithili ya "Black Economic Empowerment" ya kule Africa Kusini. Hii ni aibu kwa Taifa letu na ni kujidanganya kuendelea kuamini eti wakina Rostam, Patel,Somaiya, Kanjibhai, Manji and the likes ndio wafanyabiashara wa Kitanzania!
Hii inasikitisha na ninachelea kusema tunahitaji "Native Economic Empowerment" mithili ya "Black Economic Empowerment" ya kule Africa Kusini. Hii ni aibu kwa Taifa letu na ni kujidanganya kuendelea kuamini eti wakina Rostam, Patel,Somaiya, Kanjibhai, Manji and the likes ndio wafanyabiashara wa Kitanzania!