Niwakati wa kutafiti na kulinganisha hasara na faida ya mabasi ya abiria hasa ya umbali mrefu kama Mwanza-Dar, Musoma/tarime-Dar, Sumbawanga/mpanda- Dar, Mwanza-Mbeya, Arusha- Mbeya, Kigoma- Dar, Bukoba-Dar na zingine nyingi ambazo kwa sasa nilazima kusafiri kwa siku mbili ili kuweza kufika...