Recent content by ANT-Propaganda

  1. A

    Wanaopenda kufanya ngono kinyume na maumbile

    Naomba umjibu huyo anayehitaj kujua, nadhani unayo majibu sahihi.
  2. A

    Kigezo cha umri chapelekea Ben Saanane kutoshiriki katika kinyang'anyiro cha uchaguzi BAVICHA

    Ni hatua na maamuzi mazuri aliyoyafikia Bw. Saanane, lakini kuna watu kama dady igogo wamenishangaza sana kwa kauli zao walizotoa huko FB baada ya saa8 kutangaza uamuzi wake punde, tena ukizingatia nafasi zao ndani ya chama. Dady Igogo embu act kama mtu aliekomaa kisiasa na sio m2 anaekuwa mwili...
  3. A

    Hamis Kigwangalla anusurika kuuawa kwa kupigwa risasi Nzega

    Haya ndio maneno aliyoyaandika katika ukurasa wake wa facebook; "Nimenusurika kuuawa muda si mrefu. Mungu mkubwa. Askari kwenye gari ananiambia na bahati yako nimekukosa, nililenga kichwa....kijana mmoja alikaa mbele yangu amepigwa risasi kwenye paji la uso, sijui kama amenusurika...
  4. A

    Kigogo mzito serikalini shoga

    Tupieni jina basi.
  5. A

    Msichana jasiri katika siasa mwaka 2013

    Jesca kishoa nampa nyota.
  6. A

    msaada wa speech za nyerere.

    Wana JF, Ni wapi naweza pata speech mbalimbali za mwalimu za ku download Mp3 direct.
  7. A

    CHADEMA Iko Imara-Lwakatare

    Intelejensia ya CDM ni hatari. BIG up Lwakatare
  8. A

    Yamenishangaza St.Hellen Junior Kimara Mpigi

    Kama unauchungu sana juu ya hao watoto ungewalipia ada zao wote ndo uje humu utueleze hayo.
  9. A

    Tanzia: Peter Mangula (mtoto wa Mangula) afariki dunia

    Pole sana. Wabongo watasema kafara ngoja mje muone.
  10. A

    Kuhujumiwa Zitto na kundi la Mbowe, wasomi waishukia CHADEMA

    Kweli hapo sasa naona umbumbumbu wa wasomi wetu tanzania. Hivi wanaweza kuongea pumba hizo??...nakataa..aiwezekani.
  11. A

    Namuonea huruma sana Mnyika kwa kuingia kwenye ngoma ya kihafidhina

    Acheni ujinga nyie..Mnyika ni mkurugenzi wa habari wa chama. Unadhani hicho alichokifanya asipofanya yeye nani afanye?...kwanza hakuna namna yoyote ile hii kitu inaweza muadhiri juu ya hatma ya ubunge wake ubungo. Hata aende TLP mnyika kwa msingi alionao ubungo ataendelea daima kuwa mbunge wetu.
  12. A

    Kwa hili msigwa amepoteza sifa za uongozi!! Someni fb anavyowatukana watu wanaompinga

    Mbona kapokea likes nyingi sana kama ishara ya kuungwa mkono. Wwe umedata.
  13. A

    John Mnyika: Too Soon to Lose you!

    Mnyika tafadhali mjibu huyu jamaa. Hata kama utapoteza siasa zako kiasi gani ila kamwe hutopoteza ubungo.
Back
Top Bottom