fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
kipimo cha ujinga ni maswali mapesi sio magumu, huu nao ni ule ule
duh!
Huyu ni bawacha au bavicha ?
Cc: @ben saanane
cc: @moderators
cc: @invisible
Mbona hujawataja MAJEMBE Mtela, Brigadier Nyakarungu,Ludo na yule aliyetuibia simu yetu..!? ina maana wao mchango wao hamuutambui!?
Mbona hujawataja MAJEMBE Mtela, Brigadier Nyakarungu,Ludo na yule aliyetuibia simu yetu..!? ina maana wao mchango wao hamuutambui!?
Baba V, wewe ni muoga ndo maana unaficha jina lako. Kwa taarifa yako nakusihi uwe na staha kidogo.usirudie tena kunichanganya na masalia. Sijawahi kushare jambo lolote nao.siko upande wao wala sijawahi kuwaunga mkono. Naelewa kuwa wengi mmekumbwa na mihemko na kujiona wana chadema zaidi wakati baadhi hata chama hamkijui.jitokeze kwa jina lako halisi kisha utaje watu kwa majina yao. Acha woga wewe unajiita great thinker