Tanzia: Peter Mangula (mtoto wa Mangula) afariki dunia

Tanzia: Peter Mangula (mtoto wa Mangula) afariki dunia

poleni sana wafiwa Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu.
 
Mtoto wa kwanza wa Makamu nwenyekiti wa CCM Philip Mangula ,Peter Mangula amefariki Dunia leo asubuhi.

Ntaendelea kuwapa update zaidi

R.I.P Peter Mangula, siso sote mavumbi.[/QUOT
Na mavumbini tutarudi. Amen. Rest is peace Peter
 
pole mzee Mangula... Mungu mwenye rehema akupe faraja. Lalasalama Peter.
 
Poleni sana familia ya Mangula, siri ya lini mtu atakufa anaijua Mungu tu laiti ingekuwa wazi Mzee Mangula angekata rufaa ili isitokee tena ktk familia yake ndani ya mwaka mmoja kupoteza watoto wawili. Mungu awape faraja ndani ya miioyo yenu.
 
pole sana mzee mangula.
Nakumbuka alifiwa na binti kwa ajali ya gari hivi karibuni.

kabla ya huyo binti aliefariki kwa ajali kuna mwingine tena alifariki alikua kiongozi wa dini enzi hizo

alafu ndo akaja huyo binti then leo huyu peter, hili ni janga aisee....mzee mangula atakua na hali mbaya

sana aisee. R.i.p peter mangula

duuh
 
Pole Mzee Mangula, Pole Wafiwa na Wote Wanaoguswa na Misiba hii Mfululizo kwa Familia ya Mzee Magula! MUNGU Awape nguvu katika wakati huu mgumu!
 
hata mwaka aujaisha toka afiwe na binti yake, leo tena mwanae wa kwanzwa....polen sana wafiwa.
 
Anawatoa kafala.
CCm ni chama kinachoendeshwa kwa misingi ya tutoana kafala.
 
R.I.P Peter,mzee wetu mwaka huu alifunga mdoa na mwaka huu kafiwa na wanae 2,kwa kweli inauma.pole sana Mangula
 
Last edited by a moderator:
Poleni wafiwa...inahuzunisha sana kwa mapigo anayopata mzee Mangula
 
duh kafiwa na mtoto tena??? pole sana mzee Mangula.
 
Mungu na ampe moyo mkuu mzee wetu.
Bila shaka huyu ndie mtoto alimpata baada ya kuombewa na Moses Kulola (kama mwenyewe Mangula alivyoshuhudia).

tragedy of the commons
 
Mungu wa Israel aingilie kati jamani, awafariji na awarestore it is never easy!
 
Back
Top Bottom