Mtoto wa kwanza wa Makamu nwenyekiti wa CCM Philip Mangula ,Peter Mangula amefariki Dunia leo asubuhi.
Ntaendelea kuwapa update zaidi
R.I.P Peter Mangula, siso sote mavumbi.[/QUOT
Na mavumbini tutarudi. Amen. Rest is peace Peter
pole sana mzee mangula.
Nakumbuka alifiwa na binti kwa ajali ya gari hivi karibuni.
Anawatoa kafala.
CCm ni chama kinachoendeshwa kwa misingi ya tutoana kafala.
Pole sana mzee Mangula
Binti yake yupi jamani, isije ikawa ni TWIDETH
RIP Peter
Pole sana Mzee Mangula.
Nakumbuka alifiwa na binti kwa ajali ya gari hivi karibuni.