Recent content by ANT JAY

  1. A

    Kwa wanaume tu njoo tutete

    ntacomment nikiamka ok wadau
  2. A

    Mabadiliko ya Katiba: Kikwete aongezewe muda wa miaka mitano

    mtoa maada hajielewi pole sana broo unamchango mkubwa tz ningekuwa kikwete ningekuweka hata uwe balozi wa nyumba kumi.
  3. A

    CCM kubebwa na Benard Membe uchaguzi mkuu 2015

    wazir alyeishi nje mda mwng kama membe hafai kupewa yadhafa za urais, sina maana hyo bt membe hafai na endapo akapta urais mm nachukua uraia kenya cwez kuja ona kama mkimbiz, mkimpa yule tour(safar za njee) ztakuwa nyng na hko nje hwez jua anachofuata nn nisiongee sana mm naona lowassa ndo...
  4. A

    huyu ndie mwenye karata ya kuiangusha CCM 2015 kwa kila namna

    najua kabisa wanaomponda lowassa either wana akili vinyu means hawaoni mbali pia wanashabikia tuuu kama vile man u au asernal wenye akil na wasomi watamuunga mkono lowassa, sasa ww kaa huko mtaan piga kelele tuuu bila data "no data no talk" huna data kaa kimya.
  5. A

    Kumekucha: Mawaziri waitwa Dar ghafla!

    watimuliwe wote kwan wamefanya bungen ni tanguru la walanguzi na mh jk usipofanya kwl na kuchukua hatua stahiki mnapoteza chama hata kama ni wanchama wenzako timua,bora wafe wachache kuliko kifo cha wengi.
  6. A

    safari za usiku.

    mawazo yako mazuri xanaaa, nakuunga mkono asilimia 0%.bwana we kama umechoka maixha yako ww mwnywe,pia kama unaona una shughul nyng nunua gar ya ko binafsi usitusumbue tafadhali
  7. A

    Ray c:jack cliff,anyongwe ni mbwa na firauni mkubwa sana!!

    waooooooo! hakuna kunyongwa wala kuhukumiwa tz babaaa ss ndo tumeshikilia hii nchi week ijayo yupo kitaaa, wee peleka unga sasa ukamatwe kama yatapta hata masaa matatu hujafa
  8. A

    Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

    okey mie cna comment, najua wote mlio coment hapo juu mna itikad ya kidini huwez ukaponda matakwa ya dini ya mtu mwngne hata kama ni mpagan yanakuhusu?, mnajifanya mmeiva kwny dini kumbe hamna lolote.fanya mambo ya maendeleo mwombe mungu wako akuxaidie cyo uanze kushabkia udin na hasa nyie watu...
  9. A

    Ni nani mmiliki halisi wa Ratco Express?

    mtakufa nyie si mnunue ya kwenu kama mnapenda starehe? m2 mzma unatamka et una hamu ya kupanda gar that's uncivilized kwan cha ziada n nn kwny hyo magar? kama juice umeshndwa kununua?,tv si mnazo nyumban mpaka mkaone kwnye gar,magazet nk, wabongo mspende kujtafutia kiama.
  10. A

    Mishahara serikali mbona kimya mpaka leo?

    hiv inakuaje inamaaana watu wanafanya kaz kwa kukopexha au! yaaan hailet picha wala haina mantic mfanyakaz kaji2ma mwz mzma kazin alafu mwsho wa mwz acc empty? mbn mawazir mishaar yenu kwa wakat? huuu ni humilation bora achukue gun angiee msitun pia hyo wazr anaye huska na mishaara wa...
  11. A

    Nimeamua kuwa #Team lowassa#

    jaman achen majungu lowassa anafaa
  12. A

    Je hizi habari zina ukweli au watu wameshiba wali??

    yaaaaan kama hajasoma vile anaongea pumba mda wotee cjui kama ndo mawazir wa tz. mh kabisa ndan ya suti unapanda jukwan na kuongea matusi umbea ushabiki badala ya kufanya mikutano yenye maendeleo kwa wananchi unafanya mikutano ya kipumbavu ndo maana 2nalia kila siku maendeleo mambo kama haya...
  13. A

    Nitapambana na mhe Godbless Lema 2015

    kutokuwa na akili we na lema ni kimoja kama una nia ya kuinua jimbo la aruxha mjin unavyo dai ww kwa nini usingeshirikiana na lema pale unaona ana udhaifu coz naye binadam hawez akawa parfect. hata we pia unajiona upo fit bt unajidanganya na unadanga wananchi we uchu wa uongoz ungekuwa...
  14. A

    Number One - Diamond REMIX!!!

    poah bhanaaaa
  15. A

    Natafuta mchumba.

    daaaah kama zali vile mie nna vgezo hivyo bt npo bongo we ruxha private no mie ntakuja sweeden, plz nitumie no nijeee
Back
Top Bottom