Mishahara serikali mbona kimya mpaka leo?

Mishahara serikali mbona kimya mpaka leo?

Jamani hii serikali imefilisika kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wa umma?

Leo tarehe 30/12/2013 hakuna mishahara!

Nini kinaendekea katika hili?

Vipi kamanda, kimeeleweka ama bado maana 2013 ndio tunaiaga hivyo
 
Jamani hii serikali imefilisika kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wa umma?

Leo tarehe 30/12/2013 hakuna mishahara!

Nini kinaendekea katika hili?

Huenda hupo crbd maana huwa wanacheleweshaga haoo duuh mie nilikuwa napokeaga tar 5 ingawa wenzangu wa nmb ni shaaaap on spot dot!
 
No salary mpaka sasa saa 8:27 pm na niko CRDB Kwa upande wa SU tunalia hasa hasa wale wa PGSS na PUTS ndo hakieleweki.

My wife please take full responsibility of the family, my pocket is empty.
 
Watumishi walio chini ya katibu mkuu MOEVT hawajapata salary. Serikali hii imeshindwa kulipa hata mishahara midogo ya watumishi wake kwa wakati sasa itaweza kulinda tembo?
 
No salary mpaka sasa saa 8:27 pm na niko CRDB Kwa upande wa SU tunalia hasa hasa wale wa PGSS na PUTS ndo hakieleweki.

My wife please take full responsibility of the family, my pocket is empty.
PGSS na PUTS ndiyo nini hiki?
 
Mimi nilicheki tarehe 22 jumapili nikakuta mambo safi, which means walideposit tarehe 20. Labda wanalipa kwa mafungu
 
Kuna baadhi ya idara na halmashauri mishahara ilileta shida mwezi ulopita na huu,so ikawa unaenda kuchukua dirishani so mkuu fuatilia
 
mkuu unaishi wapi, mishahara ishatoka tangia tarehe 24,December


Nimeshakusoma mkuu,najua nyie ni Walimu,tena wale waliochini ya katibu mkuu,SIFUNI MCHOME. Mishahara mpaka sisi wengine tumeshamaliza nyie bado,lakufanya muungane tu na Nape pigeni chini WAZIRI NA KATIBU MKUU WAKE hao ni mizigo,mtakufa njaa bureee
 
Mishahala ikipanda walivyojipangia wao wananchi mtakufa kwa njaa nyinyi!!
 
Kuna watu wanafikiri mishahara yote ya watumishi wa umma eti inapita halmashauri/manispaa! Jamani serikali kuu hadi watu mishahara bado kama wewe umepata mshukru Mungu lakini kwa baadhi ya sekta wenzio bado.
 
hiv inakuaje inamaaana watu wanafanya kaz kwa kukopexha au!
yaaan hailet picha wala haina mantic mfanyakaz kaji2ma mwz mzma kazin alafu mwsho wa mwz acc empty? mbn mawazir mishaar yenu kwa wakat? huuu ni humilation bora achukue gun angiee msitun
pia hyo wazr anaye huska na mishaara wa wafanyakaz yaaan ni mzigo
hana wacwac juu ya hili kama kanyexhewa mvua vile yaaan.
 
One principle: They pretend to be paying,pretend to work!!!!!
 
Back
Top Bottom