Kwa wanaume tu njoo tutete

Kwa wanaume tu njoo tutete

Mkuu Daudi1 ahsante kwa mwaliko.

Wavulana wa siku hizi kuna tatizo sehemu. Wamerahisishiwa mambo na teknolojia lakini inashangaza wanashindwa kuitumia ipasavyo.

Najaribu kutafakari enzi zetu tukitongoza kwa kupitia SLP na kama vipi kukatana mitama vichochoroni, hawa vijana si wangeishia kupiga punyeto?

Vijana wanapaswa kutoa uso wa aibu kwa wadada. Mwanamke ukimtokea kijasiri yeye ndo anakuwa na aibu. Na unapoonyesha ujasiri ndo mwanamke anapokukubali zaidi.

Vinginevyo hivi vibinti virembo vitaendelea kuangukia kwenye mikono yetu wakongwe kwa kuwa wavulana wameshindwa kazi.

Acheni kulialia mitandaoni wavulana, mabinti wanawacheka.

Ngoja nikazimue kwanza.
Asprin
Nimepita kukusalimia tu Babu yao, siyo pahala pangu.
 
Last edited by a moderator:
Hilo swala halina mipaka popote kambi utakapo ona pana kufaa hapo hapo ndo unabandika tangazo,
Sio wote wanaokuwa hapa wapo kwa lengo moja kila mtu huwa anakuja kwa malengo yake na ana uhuru wa kweleza fikra zake, mbona unataka kuweka mipaka kwa kuzibana fikra huru za watu.

Kuna watu mahusiano yao yameanzia hapa hapa na wala sio PM mtu anaweka tu bandiko hapo hadharani binti akivutiwa safari inahamia Pm, hilo lisikusumbue akili ukaona jabu sana hiki kijiwe chetu kabla hauja ingia unakutana na pazia la mandishi haya
logo2.png
 
Kumbe nimelenga eeh! Wewe apo nakusakasaka sikuoni,

nipo mpenzi ila huwa tunapishana kwenye kona fkona tu huwa nakuona yule na yule mpenzi wako nahisi atakuja sasa hivi sitaki kumtaja labda unipe laki moja
 
Hilo swala halina mipaka popote kambi utakapo ona pana kufaa hapo hapo ndo unabandika tangazo,
Sio wote wanaokuwa hapa wapo kwa lengo moja kila mtu huwa anakuja kwa malengo yake na ana uhuru wa kweleza fikra zake, mbona unataka kuweka mipaka kwa kuzibana fikra huru za watu.

Kuna watu mahusiano yao yameanzia hapa hapa na wala sio PM mtu anaweka tu bandiko hapo hadharani binti akivutiwa safari inahamia Pm, hilo lisikusumbue akili ukaona jabu sana hiki kijiwe chetu kabla hauja ingia unakutana na pazia la mandishi haya
logo2.png

Mimi mwenyewe nimetumia bango hilo hilo,na ni mtazamo tu na wala neno langu siyo sheria,ila kwa mtindo wa kuacha namba za simu ili uandikwe msg au upigiwe mmmh! lazima usugue bench vya kutosha otherwise style ibadilishwe
 
Mimi mwenyewe nimetumia bango hilo hilo,na ni mtazamo tu na wala neno langu siyo sheria,ila kwa mtindo wa kuacha namba za simu ili uandikwe msg au upigiwe mmmh! lazima usugue bench vya kutosha otherwise style ibadilishwe

Najua ni mtazamo wako huo
Na neno lako haliwezi kuwa sheria miaka 800.
Kila mwanaume ana mbinu yake ya kumnasa binti kikubwa ni namna ya kuanza, njia zinatofautiana.
Na sio kweli hao wanao tafuta huwa hawa pati wanapata sana tu na hawasugui bench.
Kama umesema hata mabinti pia huanzisha mada hizo hizo za kutafuta wachumba huyo akikutana na kijana ambae pia kaanndika mada hiyo hiyo hawawezi kuanzisha mahusiano?
 
Mwingine ametoa namba eti unapotuma msg Anza na neno mchumba kwanini asiende PM kwa dada anyemvutia ajieleze kuwa anahitaji mke nadhani atapata kirahisi kuliko kusubiri wampigie simu

Kwa dada anaemvutia kivipi? ww kuna dada yeyote anaekuvutia humu? na kama yupo umevutiwa na nini?
 
hapana, sisi wanaume tupo busy sana na kazi. tukifika ofisini busy na computer zetu. tukipata chance tunaingia jf, tunaona michango ya warembo kama kina husninyo. ofisini wanawake wachache tena wana pete zao. hatuendi clubs, hatupandi daladala kusema tutaonana nao kwenye kugombania magari. mazingira yanatufanya tukose wa kuwatongoza mpaka midomo imekuwa mizito kwahiyo tukifika humu tunaishia kutuma namba tu. nia zetu ni njema hatutaki kuwachezea bali kuwaoa.
 
Asprin
Nimepita kukusalimia tu Babu yao, siyo pahala pangu.

Nakuitika TaiJike na ahsanta kwa salamu. Kiukweli hapa si pahala pako. Najaribu kufanza maarifa niwe Tai afu niangalie Taijike akitongozwa anakua na aibu gani.

Niahidi utanikubalia kwanza.
 
Last edited by a moderator:
swala la kutongoza usiseme "limeanza" kuwa janga. Ni tatizo kitambo. sio kila anayesema anatafta mke hapa jamvini anamaanisha, kama alivyosema Eiyer wengne wanahadi line za kazi maalum.
 
Last edited by a moderator:
nipo mpenzi ila huwa tunapishana kwenye kona fkona tu huwa nakuona yule na yule mpenzi wako nahisi atakuja sasa hivi sitaki kumtaja labda unipe laki moja

Loooh! Mwanamke wapenda pesa weye. Uzuri ni kwamba humjui na sikuonyeshi ng'oooo,usije kumwomba hela bure. Tehe tehe
 
alafu wengine...!! mmm..! samahani, kumbe jandoni!! ngoja nipite.
 
Nakuitika TaiJike na ahsanta kwa salamu. Kiukweli hapa si pahala pako. Najaribu kufanza maarifa niwe Tai afu niangalie Taijike akitongozwa anakua na aibu gani.

Niahidi utanikubalia kwanza.

....teh teh teh teh...nilikutumia link hukuisoma? tatizo lako unagida sana hutaweza kuzijua tabia za Tai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom