Kumekucha: Mawaziri waitwa Dar ghafla!

Kumekucha: Mawaziri waitwa Dar ghafla!

Status
Not open for further replies.
Wameitwa kuandaa mazishi ya Waziri wa Fedha ? Mbona hakuna kinachoendelea !!
 
Wizara ya Habari,sayansi na Tekinilojia viwe pamoja na Wizara ya Mali asili na Utamaduni viwe pamoja ikibidi Wizara mpya ya Utamaduni iundwe kwani Utamaduni ni Kama umepotea sasa Maadili Hakuna Vijana wa kiume kike Wanavaa hovyo hovyo(milegezo) Hakuna kiongozi anayethubutu kukemea hili wanaogopa Masela . Mh Rais hakika Ukitenganisha Michezo na Mambo mengine Michezo itakuwa kwa kasi sana ni Vyema Michezo ikwa peke yake Kama ilivyo Wizara ya Fedha .

Yaani watu wanapigania uhuru, wewe unataka Serikali ipangie watu namna ya kuvaa? Are you serious?
 
Ukome kuanika majina ya watu kwa habari zako za umbea,sasa hapo si unahatarisha kazi ya mwenzako kwa ujinga wako?
Akili finyu sana wewe
 
Naona majungu ya kumshawishi JK ampige chini waziri wa water yameanza, ila ili jembe naliaminia. Tutakuwa naye tu kachemsha wizara ya water atapewa kilimo na chakula.
 
watimuliwe wote kwan wamefanya bungen ni tanguru la walanguzi na mh jk usipofanya kwl na kuchukua hatua stahiki mnapoteza chama hata kama ni wanchama wenzako timua,bora wafe wachache kuliko kifo cha wengi.
 
huu uongozi wa Kikwete na watu wake ...ni kizungumkuti.

Naona hii Nchi itabaki makapi ifikapo 2015. Rais anayeona nchi ikiteketea yeye walaaaaa... Wanatafuta walozi ilihali wanawajua. Kaweka rekodi ya Raisi mwenye kichwa cha ....... Non sense.
 
Best upo kote kote kwa ZZK nakuona mchangiaji mzuri sana yule jamaa unampeleka vizuri,emu twende sasa pande ya huku..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

huku nilikua simjui Lembeli ila sasa nimemfaham....yule kanianza
 
Mwaka mpya na mambo mapya! Mkuu wa nchi kashindwa kuiweka nchi hii kwenye mstari mnyofu.

Nchi swaaafi kabisa na mkuu ndio anadunda , uchumi unapaa, kujipanga upya ndivyo inavyotakiwa, nchi ni dynamic kwa hiyo lazima na kiongozi uwe dynamic.

Unafikiri pale kuna kiwanda cha gongo?
 
Ni yule mzee aliyewasilisha taarifa ya kamati ndogo kuhusiana na Operasheni Tokomeza..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

asante kwa hii taarifa Mkuu...ndio maana wamemlaumu kuwa kawachomea
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom