Recent content by anno

  1. A

    JamiiForums Tanzania AzamTV decoder

    Tafuta wakala yeyote wa Azam ukanunue.
  2. A

    JamiiForums Tanzania [MSAADA] : Mbona Nashindwa Ku-download Videos za Music Kutumia Tubemate ?.

    Videoder is the best unapata video na audio. kwa ubora mzuri
  3. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kwanini niki-download toka Playstore naambiwa memory low ila Blackmart inakubali?

    Mie mwenyewe natumia s5 nikepata hiyo shoda sijui natatuaje hili janga
  4. A

    JamiiForums Tanzania Msaada:samsung note 2 gt-n7100 inagoma kukamata 3g/h+ inakubali g tu

    Ngoja wataalam waje
  5. A

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Mnyika, Inakatisha tamaa...

    Naaam Mnyika anajua anachofuata Bungeni gvmnt ikikosea hajalishi ni chama chako wewe mbunge au si chako lazima uikosoe ili mambo yaende sawa.. kasumba ya kuikumbatia serikali eti kisa ni chama chako ndo imetufiisha hapa pabaya tulipo.. big up Mnyika..
  6. A

    JamiiForums Tanzania TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Hii imekaa vizuri sana...
  7. A

    JamiiForums Tanzania EATV: Inaonesha Hawalipwi vizuri

    Kwani ni EATV tuu ndo wafanya kazi wake wanahama mbona makampuni mengi watu wanaenda huku na huku
  8. A

    JamiiForums Tanzania Zitto: Ulidanganya Geita wanakuhitaji, leo umekiona cha moto

    Zitto!!!
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini madirisha ya choo hujengwa madogo?

    Hakuna haja ya kuweka dirisha dogo chooni kwa kisingizio cha faragha kwani mbona chumbani ni sehemu ya faragha kuliko chooni lakini mnaweka bonge la dirishaa
  10. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi ya kuigundua Simu Original na Fake

    hata mimi nahisi kila brand ina namna ya kujua ni fake au original its better akasema brand na model yake
  11. A

    JamiiForums Tanzania ........duh nimeisha....mwili unamtaman sana huyu

    Tulia na wako mama,,, wanaume wa namna ambayo umeelezea hapa 90% ni pasua vichwa ukijiingiza hapo utajuta kumfahamu, mpende na kumtunzia tunda mwenzi wako
  12. A

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kupiga goli zaidi ya moja kwenye sex.

    Listen its simple,, usiwe na haraka muandae mwenzio kwa muda kidogo kissing, hugging,touch za hapa na pale kwenye sensitive part zake then bidae unaweka mzigo ndani na kutoweka mawazo hapo utakuta anatumia mda mfupi kufika na mambo yanakuwa safi ndugu yangu,,,, ( make sure mwenzio siku anainjoy...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Handaki kubwa lagunduliwa kitanzini Iringa

    Picha jamani mkono mtupu haulambwi,,,
  14. A

    JamiiForums Tanzania Shida za ndoa ( maoni ya wanaume)

    Kwenye kuhudumia mgodi dady iz the head of the family, mambo mengine beijing inatawala mtatuua jamani embu tuoneeni huruma wababa,, big up kwa huyo jamaa unapopata chance tupia mzigo kwa mama nae aangaike nao,, hahaha raha
Back
Top Bottom