Hawa EATV wana matatizo gani? Inakuwaje watangazaji wake wazuri na MaDJ zake wazuri wote wanakuwa poached na Kampuni nyingine..?
Kaondoka Adrian
Kaondoka Mafuvu
Leo kaondoka DJ D Ommy
Mmiliki kwani ni Nani?
Hakuna radio ambayo wafanyakazi wake hawahami,hebu tutajie unayoifahamu?