Uncle john
Member
- Oct 22, 2012
- 51
- 13
Aisee kumbe kuna wanaume mashujaa kweli kweli, jamani na sisi tunaumizwa na wanawake hawasupport chochote na wanatuzidi kipato ila tunakufa kiume tu na maumivu yetu. kwahiyo likipatikana dume moja kama hilo si mbaya sana anafidia maimuvu ya wanaume tuliowengi.
for sure, wengine wana kazi na mshahara na haujulikani unafanya nini. Haki walizokuwa wanadai si pamoja na kufanya hayo?