Kaliua urambo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 603
- 127
Utanyamazishwa sasa hivi! Endelea kujaza mipicha yako ya uongo na kweli
Ndo zenu kuropoka,geita hiyo leo #nabado
Utanyamazishwa sasa hivi! Endelea kujaza mipicha yako ya uongo na kweli
Yaani huu ni uandishi wa kimajungu mno.... muda unayoyoma, fanyeni yenu jamani, waelezeni watanzania sera zenu na utekelezaji wa ahadi mlizotoa miaka 5 iliyopita.....kwanini mumfuatilie zzk?....
Hivi huko Chaggadema hakuna mwenye akili Timamu??????!!!!
Yaani huu ni uandishi wa kimajungu mno.... muda unayoyoma, fanyeni yenu jamani, waelezeni watanzania sera zenu na utekelezaji wa ahadi mlizotoa miaka 5 iliyopita.....kwanini mumfuatilie zzk?....
Azimio la Tabora ni mavi mabichi kwa wana Katoro. Zitto akampelekee mkwewe tu hilo azimio.Ndo zenu kuropoka,geita hiyo leo #nabado
Sioni dalili za kuzomewa ,endeleeni kuumia tu
Zitto anawapa mimba mshindo aisee ,kumbe hadi Leo hii hamjaweza Ku handle stress zake
Wewe ni mateka wa Mbowe tumeishakuzoea kuna zuri lolote la Zitto utalisema lazima uendelee kuwafurahisha mabwana zako.
Huyo genius wenu kwanini hatafuti Sera za kuwaambieni zaidi ya kujaribu kupapambana na CDM??
kulikua na haja gani ya kusema CDM mkia yeye ndio ng'ombe?
Msiba wakujitakia hauna kilio......
Kamanda kulikoni tena mbona umepanic unaropoka ovyo umeandika nini sasa kamanda unapigana na Zitto JF.Azimio la Tabora ni mavi mabichi kwa wana Katoro. Zitto akampelekee mkwewe tu hilo azimio.
THE TRUTH NI KWAMBA ULIKUWA UMEMUANDALIA ZOMEAZOMEA UPATE CHA KUSEMA, YOU ARE TOO LOW AND STUPID BROTHER, SIJAWAHI KUONA KIJANA MSHAMBA KAMA WEWE!!! JUST WAIT A BIT AND YOU WILL SEE!!!,hongera UMEWAFURAHISHA MABWANA ZAKO WA UFIPA
Zitto ndio nani?
Naona mawazo kaogopa kuulizwa na mabos wake mbona zto kajaza Sana kawai jf kujihami zto kashangiliwa sana geita na katoro acha kudanganya watu japo mimi si mfuasi wenu wote
Zitto ndio nani?