Handaki kubwa lagunduliwa kitanzini Iringa

Utasikia Chadema hao.

Afu huo mkuu wa wilaya hana kazi za maana ofisini?
kakajambazi nafikiri mkuu wa wilaya lazima ajue je kama lilikuwa linatumika kwa sababu zisizo za kiusalama? sema amekuja mapema mno katika tukio. kwa sasa wanausalama na polisi ndio ilibidi wawe hapo kujua zaidi wakipata majibu ya kutosha ndio wanamuita katika eneo la tukio kuja kumuonesha ikiwa kuna la msingi kama hakuna la maana basi wanampa tu taarifa huko ofisini kwake.
 
natamani huyo mkuu wa wilaya ateleze, na kudumbukia humo. maana ameacha kazi ofisin na kufanya yasi muhusu.
 
Utasikia Chadema hao.

Afu huo mkuu wa wilaya hana kazi za maana ofisini?
Ukiacha kazi ya kuzuia mikutano ya chadema, hiyo ni kazi yake pia kwa sababu yeye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na pia Mjumbe wa KaMATI YA siasa ya Wilaya ya CCM.

una swali jingine?
 
Utasikia Chadema hao.

Afu huo mkuu wa wilaya hana kazi za maana ofisini?
Wanadamu hatuna jema. yaani mkuu wa wilaya ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya wilaya, sasa amesikia kitu cha namna hiyo kwanini asiende. Asingeenda mngeuliza kazi yake ni nini, ameenda, mnauliza kama hana kazi ofisini. Ubinadamu kaazi jamani!
 
Ukiingia ndani kwenye hilo shimo unalooita la choo, upande. Mmoja kuna muendelezo ulimpana na chumba kinachoendelea.
Umeshawahi kuona muuundo wa mahandaki??


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Ok Kumbe kuna muendelezo kama hivyo basi sawa...
 
Naona handaki ni la kihistoria litangazwe na wakoloni waliowahi kututawala nadhani wana ramani za mahandaki waliyotumia ama katika vita vya kwanza au vya pili vya dunia.
 
Habari zilizoifikia zimeelezwa ya kuwa wananchi wa iringa wakumbwa na mshtuko mkubwa baada ya kuona handaki wakati kampuni ya kuchimba maji kuligundua.

Ndani ya handaki hilo kubwa liligunduliwa kumekutwa na nyumba kubwa ambayo inasadikiwa ilijengwa na wajerumani ambao ndio wanasadikiwa kulichimba handaki hilo.

Watu wengi wamejaa katika eneo hilo wakilitazama handaki hilo na wengineo wamekuwa na malengo ya kutaka kuiba wakiwa na imani mahali popote pale walipoishi wajerumani waliacha mali na wana imani hata humo ndani kuna mali tele.

Polisi wengi wameshafika kuhakikisha wanaimalisha hali ya usalama inayoonekana kutaka kutoweka mahali hapo.

Ikumbukwe ya kuwa mkoa wa iringa yalikuwa ni makazi ya wakoloni (hapo zamani) ambao walishiriki kwenye harakati ya kupambana na chifu mkwawa ambaye alikubali yaishe kwa kuamua kujinyonga.
 
Duh hivi yule KIYEYEU hajatulia tu huko kuzimu?

icon1.png
Kaburi la kiyeyeu lililopo Iringa ni kweli linamaajabu yanayozungumzwa ?
BL4.jpg



Kaburi hilo kwa sasa lilishabomolewa na kukutwa mifupa ya huyo jamaa Martin Kiyeyeu mwaka nafikiri 2010.
 
Back
Top Bottom