Recent content by ANNASTACIA

  1. A

    The Power of Letting Go....

    Money can't buy love jamani why people confuse love as feeling and money as material thing!?
  2. A

    Tray la mayai 4000 tsh.

    picha yenyewe inatisha hata ya hayo mayai yanavyoonekana hata huwezi kuyanunua, cheki humohttp://www.mwananchi.co.tz/mwananchi-jumapili/41-biashara-mwananchi-jumapili/20576-mayai-feki-yatua-dar
  3. A

    Upo umuhimu wa urais 2015 kumpa mwanamke kupunguza mwendo kasi huu..

    Acha maneno yako ya kijinga, na miaka hamsini tuliotawaliwa na manaokojoa mmesimama mmefanya nini zaidi ya kujithalilisha tu kwa hawa wenye ngozi nyeupe. Lol mnahongwa hadi suti. Take back ur words!
  4. A

    Jerry Muro amlipua Masha

    This is not fare kwa kweli kama ni uonevu basi huo umefika mwisho. A living God akushindie kesi hii kaka
  5. A

    Tatizo la umeme

    THE INSTITUTION OF ENGINEERS TANZANIAMKUTANO WA KUJADILI TATIZO LA UMEME NCHINI TANZANIA:MAHALI: KARIMJEE HALLSIKU/TAREHE: JUMAMOSI, 30/07/2011MUDA: SAA 4 ASUBUHI – SAA 6 MCHANAMADA: UFUMBUZI WA KIHANDISI WA KUTATUA TATIZO LA UMEME NCHINI TANZANIAWATOA MADA: (1) ENG. DR. M.I. MAINGU(2)...
  6. A

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Masikini jeuri naomaba contact ya huyo anayeziuza hizo incubator please
  7. A

    Magazeti ya Kenya na dhihaka kwa Rais wetu

    Thanx for truth, as the truth always hurts! i like the comment about the big guy
  8. A

    Soma hapa: Ujue kwamba nchi imepigwa bei

    du hii nchi imezidi sasa maana tunapoelekea sio pazuri, Mungu tu atufunulie viongozi wanaotufaa
  9. A

    Soma majibu ya Selebu wa Kibongo, Hemed akihojiwa na Zamaradi

    ndio ujinga uliochanganyika na upumbavu kabisa, dogo hamnazo kabisa
  10. A

    Beach plots for sale at mbweni beach

    Hizo plot zimepimwa au ndio kila mtu atakuja kuibuka na kusema zake?
  11. A

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Mh!by the way,israel ni nani kwa this generation?
  12. A

    Mishakaki ya Paka

    its true kabisa nimemsikia mwenyewe anhojiwa na wakati anawauwa anawaweka kwenye gunia na anawafunga miguu yote na kuwa waya anawapiga nao, ila yeye hali wala familia yake yeye na mkewe na watoto wanne hawajui na hapeleki hata nyumbani hiyo mishikaki ma anaingiza 25,000 to 30000 Tshs per day...
  13. A

    The Billionaires of Africa

    Wengi wa bongo wanaogopa kusema walicho nacho si wanakwepaga kodi!!?
  14. A

    The Billionaires of Africa

    Wengi wa bongo wanaogopa kusema walicho nacho si wanakwepaga kodi!!?
  15. A

    Hivi nini hasa suluhu ya ukosefu wa ajira?

    kujiajiri ndio suluhisho ila inahitaji someone to overcome fear kwanza maana wengi wetu tunaogopa mwanzo zile challenges zinakuwa nyingi sana hadi watu tunaishia kwenda huku na huku kutafuta kuingia kwenye pay roll ya mtu wakati tungetuliza vichwa na kuanza vya kwetu na sisi tungeajiri wenzetu...
Back
Top Bottom