Mkuu najua kwamba Nation Media Group haimilikiwi na Wakenya nadhani inamilikiwa na Aga Khan kama sikosei na sikuwa na nia ya kupotosha. Ila tu nikuambie kwamba Kenya hakuna uhuru wa Habari kama hapa kwetu. Soma tena hiyo makala uone, mbona hawajasema kuhusu Kibaki alivyong'ang'ania madaraka na kupora ushindi wa Odinga na kuapishwa wakati bendera imeshushwa!!
Mkuu, Nation Media inamilikiwa na Aga Khan lakini Wakikuyu wana stake kubwa sana katika hiyo Media House; in fact, hawa ndio wanaloliendesha, na mara zote wameitumia kuyumbisha siasa za Kenya.
Inaelekea hamuifahamu Kenya vizuri, fuatilia hata Wakenya wanaofanyia Mwananchi hapa kwetu au hata Daily Monitor kule UG, utakuta ni Wakikuyu na mara zote wana agenda zao wanazosimia.