The Power of Letting Go....

Niliachwa ghafla bila kuambiwa sababu ya kuachwa. Nilijitahidi ku let go...... ilinisumbua kwa muda mrefu sana ingawa sikuendelea kubembeleza. Akili yangu iligoma kukubaliana na hali halisi kwa kutoelezwa what went wrong.... hadi mahusiano yakavunjwa

.....hapo juu mwanajamiiOne ametoa mfano, "nimepata mwingine zaidi yako!"....

Je? Wewe binafsi ungeweza kubali SABABU kama hiyo? Utajikubalisha 'you are 2nd best...'au hujakidhi viwango na vigezo baada ya miezi, miaka kadhaa pamoja?

...hiyo ndiyo "the power of letting go!...." Ile hali ya kwa upole na unyenyekevu unakubaliana na mwenza wako MUACHANE kwa kheri, bila shari wala shaka yoyote, kwani kwa hali hiyo pekee ndipo nae (bila hasira, jazba wala matusi) atakwambia 'sehemu' ya sababu au sababu 'zote' kwanini ameamua kusitisha mahusiano.

...ulipitia hatua hizo?
 
Wapendwa,

Ni matumaini yangu kuwa mu wazima na mnaelea kwa raha kwenye bustani zenu za mapenzi. Napenda kuwapongeza sana wanaowapenda (Wapenzi wenu) na ninyi mnaopendwa kwani kwa pamoja mna-make the world a better and colouful place to live! Bravo.

Weekend hii nimekuwa nikitathmini mahusiano yetu kwa ujumla. Nikajikuta nagongana na hii ya power of letting go!! Ni mara nyingi tumekuwa/au kushuhudia wenzetu wakifika mwisho wa mahusiano au mahali ambapo inawabidi kuachana na wenzi wao wengine ilhali bado wanawapenda lakini tu inabidi.

Katika kuwaza na kuperuzi nikakutana na hii ilim isemayo; Ili kuelewa power of letting go, kwanza hatuna budi kuyaelewa mahusiano yetu ambayo ni mitihani kamili ya kutufunulia undani wa nafsi zetu.... They are the true test of who we are because it is the ultimate test of our self-respect!! mh!!.....................

NDIYO nimeguna kwa sababu hapo ndipo kwenye shina lenyewe ambalo bahati mbaya wengi wetu hujikuta (pengine sababu ya shock - hatukutegemea kuwa iko siku tutafikia ukingoni; au ukingoni kumekuja ghafla kuliko tulivyotegemea) wengi wetu tumejikuta tukijishusha na kubembeleza tusiachwe pamoja na kuwa kuna kila dalili kuwa mapenzi yamefikia tamati. Wengi wetu tumejikuta tukijidhalilisha/dhalilishwa kwa sababu tu ya kumng'ang'ania mpenzi aendeleee kukupenda wakati twajua kuwa hata akikubali basi it wont be OUT of LOVE bali OUT of PITY!

Tunasahau kuwa kwenye mahusiano yoyote kuwa wakweli (honesty) and being true kwa nafsi zetu ni MUHIMU ZAIDI ya survival ya mahusiano hayo ambayo unajitahidi kuya-boost. Sisemikuwa wote tunashindwa; wapo wengi tu wanaoweza-handle this situation na wengine wenye mbinu za kulet it go without having anger and resentlments! Kulet-go bila kuwa na hasira na kinyongo.

Please can we share? How to let it GO bila hacra wala kinyongo and to be appreciative for having that person in your life coz s/he must have brought some shades of happiness sometimes when you were together.

sure let it go thought it still reject
 
Its very hard but its the wisest thing to do when some thngz dnt work out. Huwa inapunguza maumivu kiasi if both of you understand that even though mnapendana lakini mnalazimika kuachana.kila mmoja akiwa na busara na kuyatafakari mambo kwa kutumia akili na sio moyo,then u will let go without any hatred, anger or any sort of enemity.mtakuwa marafiki wazuri tu bt thats only possible through understanding.

I broke up with the one I loved, but we just talked and now everything is Ok between us and promised to be there for each other.
 
Kuachana au kuachwa kunauma kwa mtu uliyemzoea, but ile upate power of letting go bila kujidhalilisha kumbuka mabaya alokutendea mlipokuwa pamoja, hii itakusaidia kumsahau kwa kasi, usiipe hasira na kinyongo nafasi maana hali hii itakuletea magonjwa mengine kama kisukari, vidonda vya tumbo na presha
 
Mie siwezi ku let go kirahisi i will fight for what i believe its true to my heart, u never know maybe ni shetani wa muda tu kapita,
mpaka nione red light kabisaaa
 
Wapendwa,



NDIYO nimeguna kwa sababu hapo ndipo kwenye shina lenyewe ambalo bahati mbaya wengi wetu hujikuta (pengine sababu ya shock - hatukutegemea kuwa iko siku tutafikia ukingoni; au ukingoni kumekuja ghafla kuliko tulivyotegemea) wengi wetu tumejikuta tukijishusha na kubembeleza tusiachwe pamoja na kuwa kuna kila dalili kuwa mapenzi yamefikia tamati. Wengi wetu tumejikuta tukijidhalilisha/dhalilishwa kwa sababu tu ya kumng'ang'ania mpenzi aendeleee kukupenda wakati twajua kuwa hata akikubali basi it wont be OUT of LOVE bali OUT of PITY!

Tunasahau kuwa kwenye mahusiano yoyote kuwa wakweli (honesty) and being true kwa nafsi zetu ni MUHIMU ZAIDI ya survival ya mahusiano hayo ambayo unajitahidi kuya-boost. Sisemikuwa wote tunashindwa; wapo wengi tu wanaoweza-handle this situation na wengine wenye mbinu za kulet it go without having anger and resentlments! Kulet-go bila kuwa na hasira na kinyongo.

Please can we share? How to let it GO bila hacra wala kinyongo and to be appreciative for having that person in your life coz s/he must have brought some shades of happiness sometimes when you were together.

your first point inatokea sana na nimeshazishuhudia sana, unakuta mke ameshachoka mume bado anampenda vikao vya familia vinawekwa mke anakubali kuishi na huyo mume kwa sababu ya heshima ya ndugu na wazazi ambao waliwashauri wakae pamoja au labda na mchungaji pia alichangia lakini yeye binafsi ndani ameshakutoka

Ndio linapokuja hiyo point ya pili kua kwanini mpaka inatokea mtu anakuchukia hivi wakati u used to be lovers ilikua haipiti dakika moja unamkumbuka, you've been thru so much ups and downs good times and bad times, shared alot of memories/dreams together, you know each other so so well like no other...why let go of all that?? i wonder
 
Wapendwa,

Ni matumaini yangu kuwa mu wazima na mnaelea kwa raha kwenye bustani zenu za mapenzi. Napenda kuwapongeza sana wanaowapenda (Wapenzi wenu) na ninyi mnaopendwa kwani kwa pamoja mna-make the world a better and colouful place to live! Bravo.

Weekend hii nimekuwa nikitathmini mahusiano yetu kwa ujumla. Nikajikuta nagongana na hii ya power of letting go!! Ni mara nyingi tumekuwa/au kushuhudia wenzetu wakifika mwisho wa mahusiano au mahali ambapo inawabidi kuachana na wenzi wao wengine ilhali bado wanawapenda lakini tu inabidi.

Katika kuwaza na kuperuzi nikakutana na hii ilim isemayo; Ili kuelewa power of letting go, kwanza hatuna budi kuyaelewa mahusiano yetu ambayo ni mitihani kamili ya kutufunulia undani wa nafsi zetu.... They are the true test of who we are because it is the ultimate test of our self-respect!! mh!!.....................

NDIYO nimeguna kwa sababu hapo ndipo kwenye shina lenyewe ambalo bahati mbaya wengi wetu hujikuta (pengine sababu ya shock - hatukutegemea kuwa iko siku tutafikia ukingoni; au ukingoni kumekuja ghafla kuliko tulivyotegemea) wengi wetu tumejikuta tukijishusha na kubembeleza tusiachwe pamoja na kuwa kuna kila dalili kuwa mapenzi yamefikia tamati. Wengi wetu tumejikuta tukijidhalilisha/dhalilishwa kwa sababu tu ya kumng'ang'ania mpenzi aendeleee kukupenda wakati twajua kuwa hata akikubali basi it wont be OUT of LOVE bali OUT of PITY!

Tunasahau kuwa kwenye mahusiano yoyote kuwa wakweli (honesty) and being true kwa nafsi zetu ni MUHIMU ZAIDI ya survival ya mahusiano hayo ambayo unajitahidi kuya-boost. Sisemikuwa wote tunashindwa; wapo wengi tu wanaoweza-handle this situation na wengine wenye mbinu za kulet it go without having anger and resentlments! Kulet-go bila kuwa na hasira na kinyongo.

Please can we share? How to let it GO bila hacra wala kinyongo and to be appreciative for having that person in your life coz s/he must have brought some shades of happiness sometimes when you were together.

I have never loved i don't why1
 
Wapendwa,

Ni matumaini yangu kuwa mu wazima na mnaelea kwa raha kwenye bustani zenu za mapenzi. Napenda kuwapongeza sana wanaowapenda (Wapenzi wenu) na ninyi mnaopendwa kwani kwa pamoja mna-make the world a better and colouful place to live! Bravo.

Weekend hii nimekuwa nikitathmini mahusiano yetu kwa ujumla. Nikajikuta nagongana na hii ya power of letting go!! Ni mara nyingi tumekuwa/au kushuhudia wenzetu wakifika mwisho wa mahusiano au mahali ambapo inawabidi kuachana na wenzi wao wengine ilhali bado wanawapenda lakini tu inabidi.

Katika kuwaza na kuperuzi nikakutana na hii ilim isemayo; Ili kuelewa power of letting go, kwanza hatuna budi kuyaelewa mahusiano yetu ambayo ni mitihani kamili ya kutufunulia undani wa nafsi zetu.... They are the true test of who we are because it is the ultimate test of our self-respect!! mh!!.....................

NDIYO nimeguna kwa sababu hapo ndipo kwenye shina lenyewe ambalo bahati mbaya wengi wetu hujikuta (pengine sababu ya shock - hatukutegemea kuwa iko siku tutafikia ukingoni; au ukingoni kumekuja ghafla kuliko tulivyotegemea) wengi wetu tumejikuta tukijishusha na kubembeleza tusiachwe pamoja na kuwa kuna kila dalili kuwa mapenzi yamefikia tamati. Wengi wetu tumejikuta tukijidhalilisha/dhalilishwa kwa sababu tu ya kumng'ang'ania mpenzi aendeleee kukupenda wakati twajua kuwa hata akikubali basi it wont be OUT of LOVE bali OUT of PITY!

Tunasahau kuwa kwenye mahusiano yoyote kuwa wakweli (honesty) and being true kwa nafsi zetu ni MUHIMU ZAIDI ya survival ya mahusiano hayo ambayo unajitahidi kuya-boost. Sisemikuwa wote tunashindwa; wapo wengi tu wanaoweza-handle this situation na wengine wenye mbinu za kulet it go without having anger and resentlments! Kulet-go bila kuwa na hasira na kinyongo.

Please can we share? How to let it GO bila hacra wala kinyongo and to be appreciative for having that person in your life coz s/he must have brought some shades of happiness sometimes when you were together.

Duuh mkubwa sijawahi achwa lakini naogopa kaa nini mana maumivu yake ni zaidi ya aliepigwa sime
 
Please can we share? How to let it GO bila hacra wala kinyongo and to be appreciative for having that person in your life coz s/he must have brought some shades of happiness sometimes when you were together.

MwanajamiiOne we are happy to let garbage go but not "after-sought" gemstones and when they are precious jewels we are left bitter and with a grudge to nurse....................for many years......of anguish while gnashing our teeth.....and that is what I call honesty
 
Letting it go z not something am good at, but the fact the she/he ditches you for someone else better than you (hypothetically) or for any other reason. Then it's evident enough that she/he doesn't belongs to you, may advice is, you cant hold on to a broken branch while you know there are other good branches out there in the tree. What you have to do is to jump fear not because if you continue to hold on to it you might fall down with it and get injured or killed so it is better to try your lucky instead of waiting for death even if you missed the next branch you death will not be in vain at least you tried because life is all about trying
 
Nikweli,to let go is a powerful amendment in ones life..unajua ku "let go" ninako jua mimi ni kule ku END mahusiano peacefully,no fighting.
Kama unataka kum "let go" mtu ulie mpenda sana,njia ninayo ijua mimi (out of experiece) ni kujua thamani yako mwenyewe,kujua kuwa kuna mtu mwingine angetamani kuwa na wewe,kujua kuwa you deserve a happy relationship! alafu kujua kuwa unae achana nae hakuwa chaguo lako (not your true love)...si maanishi tuwe tuna "let go" kirahisi,ni lazima upiganie penzi lenu lakini sio kiasi cha kujidhalilisha na kujitesa...kumbuka akupendae kwa dhati hawezi kukuliza! and true love is not selfish,true love knows how to LET GO.
 
Letting it go z not something am good at, but the fact the she/he ditches you for someone else better than you (hypothetically) or for any other reason. Then it's evident enough that she/he doesn't belongs to you, may advice is, you cant hold on to a broken branch while you know there are other good branches out there in the tree. What you have to do is to jump fear not because if you continue to hold on to it you might fall down with it and get injured or killed so it is better to try your lucky instead of waiting for death even if you missed the next branch you death will not be in vain at least you tried because life is all about trying

ExaCTLY! umenena vema@
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom