Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 543
- 524
- Thread starter
- #21
Forbes haiwezi ku-list watu ambao hawajapata hiyo hela Ki-halali..watakuwa wanaifundisha nini Jamii?
Na kumbuka kwamba Billion Dollars ni kama Trillioni ya kwetu..... the last billionaires in the world kwenye list katika forbes wameshikana wote katika namba 1400 wote wana kiasi sawa yaani Trillioni Moja.. kama Hao mliowataja wamefika hiko kiwango na wanastahili kuwa listed, basi inabidi waweke biashara zao zote wazi, kipato chao chote kichunguzwe..,..na hao mabilionea mnaowataja mambo yao sio halali ndo mana hata siku moja hawawezi kuingia in dat list...cjui Kuhusu Mengi....
Na kumbuka kwamba Billion Dollars ni kama Trillioni ya kwetu..... the last billionaires in the world kwenye list katika forbes wameshikana wote katika namba 1400 wote wana kiasi sawa yaani Trillioni Moja.. kama Hao mliowataja wamefika hiko kiwango na wanastahili kuwa listed, basi inabidi waweke biashara zao zote wazi, kipato chao chote kichunguzwe..,..na hao mabilionea mnaowataja mambo yao sio halali ndo mana hata siku moja hawawezi kuingia in dat list...cjui Kuhusu Mengi....