Wakuu Naomba kuuliza kwa mafundi na wenye uzoefu, nina sound bar ya Vizio imepata itirafu katika harakati za kusafirisha
Nilikuwa nasafirisha kutoka Dar kwenda Kigoma ila kwenye kufungwa, ikawa imefungwa vibaya na hatimae kufika Kigoma ikiwa na shida
Ukiwa unapiga mziki ile bufa inatoa sauti...
ile haikuwa kazi ya Rice, ilikuwa kazi ya Martinel kum make winger mwenzie, na ukiangalia move utaona mwanzo alikuwa yuko nae na ghafra akamuacha na kurudi ndani
Halftime ikatumike kuwajenga wachezaji psychological ili waache kupanick na wacheze wakiwa calmed
Ni wazi wangekuwa relaxed hadi halftime hamna hamna wangetoka wanaongoza ata goli 2
Leo ndio kipimo cha Maturity kwa Arsenal players, mfano mzuri ni last season vile waliharibu dakika za lala salama
Mara nyingi game ambazo Arsenal anatakiwa kushinda yeye anapoteza points, kitu ambacho ni ngumu sana kuona Man city anafanya
Kuna yeye na Ayew, yani hawana tofauti kabisa ni Sawa na NAFUU NA AFADHALI
Mwisho wa siku game inakuja kuisha majogoo wanaogoza goli 3 maana hawa jamaa kutokea nyuma na kushinda kawaida yao
Haitegemei na performance mkuu, Ramsdale anahitaji game time ili kuendelea kuboresha uwezo wake na kupigania namba team ya Taifa
Arteta hawezi kufanya tena rotation ilhali Raya teyari kashaingia kwenye mfumo, kwahiyo sio issue ya performance tena bali ni game time
Kingereza kigumu mkuu? Washakuandikia wenye takwimu zao kuwa hakuna team ingine yenye wachezaji wa5 wenye 10+ goals contribution
Haya wataje hao wachezaji wako wa5 wa Liverpool wenye 10+ contribution ili tuwabishie EPL na takwimu zao
Nakuelewa kwa sababu unayopitia yanatokea kwa vijana wengi sana ila wengi wao hawasemi tu
Kupitia betting kuna watu hadi leo wamekuwa vichaa kutokana na kushindwa Ku handle madhara ya kisaikolojia waliyoyapata huko
wapo baadhi ambao tunawajua kabisa kuwa yule kawa chizi kutokana na...
Mbona zako waga unatunga na bado tunasoma, Kwahiyo unataka uendelee kutunga wewe tu au sio
Kama katunga fresh, sie hayatuhusu kikubwa alichotunga kuna watu kinawatokea kwenye real life kila siku
Mnyama Aviator ndani ya Sportybet, miezi 3 iliyopita kuna mwana nilikuwa namdai kwa muda mrefu sana akanitumia 50000 kwa hasira nikaona hii hela haina issue tena nikaona niitumie kama mtaji kwenye kubeti
nika deposit Sportybet kama mtaji kwakuwa ilikuwa asubui hakuna game za football nikaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.