Recent content by Anigrain

  1. Anigrain

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Speaker haijachanika mkuu
  2. Anigrain

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Sawa Mkuu nitafanya hivo, maana hadi nifungue hilo box lake
  3. Anigrain

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Wakuu Naomba kuuliza kwa mafundi na wenye uzoefu, nina sound bar ya Vizio imepata itirafu katika harakati za kusafirisha Nilikuwa nasafirisha kutoka Dar kwenda Kigoma ila kwenye kufungwa, ikawa imefungwa vibaya na hatimae kufika Kigoma ikiwa na shida Ukiwa unapiga mziki ile bufa inatoa sauti...
  4. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    ile haikuwa kazi ya Rice, ilikuwa kazi ya Martinel kum make winger mwenzie, na ukiangalia move utaona mwanzo alikuwa yuko nae na ghafra akamuacha na kurudi ndani
  5. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    ARSENAL BEING ARSENAL AS USUAL
  6. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Halftime ikatumike kuwajenga wachezaji psychological ili waache kupanick na wacheze wakiwa calmed Ni wazi wangekuwa relaxed hadi halftime hamna hamna wangetoka wanaongoza ata goli 2
  7. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wachezaji Wanaonekana kabisa kuwa wanacheza kwa pressure sana
  8. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Leo ndio kipimo cha Maturity kwa Arsenal players, mfano mzuri ni last season vile waliharibu dakika za lala salama Mara nyingi game ambazo Arsenal anatakiwa kushinda yeye anapoteza points, kitu ambacho ni ngumu sana kuona Man city anafanya
  9. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna yeye na Ayew, yani hawana tofauti kabisa ni Sawa na NAFUU NA AFADHALI Mwisho wa siku game inakuja kuisha majogoo wanaogoza goli 3 maana hawa jamaa kutokea nyuma na kushinda kawaida yao
  10. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Haitegemei na performance mkuu, Ramsdale anahitaji game time ili kuendelea kuboresha uwezo wake na kupigania namba team ya Taifa Arteta hawezi kufanya tena rotation ilhali Raya teyari kashaingia kwenye mfumo, kwahiyo sio issue ya performance tena bali ni game time
  11. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kingereza kigumu mkuu? Washakuandikia wenye takwimu zao kuwa hakuna team ingine yenye wachezaji wa5 wenye 10+ goals contribution Haya wataje hao wachezaji wako wa5 wa Liverpool wenye 10+ contribution ili tuwabishie EPL na takwimu zao
  12. Anigrain

    Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji

    Nakuelewa kwa sababu unayopitia yanatokea kwa vijana wengi sana ila wengi wao hawasemi tu Kupitia betting kuna watu hadi leo wamekuwa vichaa kutokana na kushindwa Ku handle madhara ya kisaikolojia waliyoyapata huko wapo baadhi ambao tunawajua kabisa kuwa yule kawa chizi kutokana na...
  13. Anigrain

    Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji

    Mbona zako waga unatunga na bado tunasoma, Kwahiyo unataka uendelee kutunga wewe tu au sio Kama katunga fresh, sie hayatuhusu kikubwa alichotunga kuna watu kinawatokea kwenye real life kila siku
  14. Anigrain

    Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji

    Mnyama Aviator ndani ya Sportybet, miezi 3 iliyopita kuna mwana nilikuwa namdai kwa muda mrefu sana akanitumia 50000 kwa hasira nikaona hii hela haina issue tena nikaona niitumie kama mtaji kwenye kubeti nika deposit Sportybet kama mtaji kwakuwa ilikuwa asubui hakuna game za football nikaona...
  15. Anigrain

    Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji

    Kwakuwa wewe umezoea kutunga Hadith zako humu unahisi ni wote waongo waongo kama wewe
Back
Top Bottom