Shida ni kwamba kwa sasa timu yetu imepoteza balance hasa kwenye kupata magoli, tulikuwa tunafunga magoli aima zote yani kwenye set piece na open play
Ila tangu Gabriel apate majeruhi hatujafunga tena goli la set piece na hii ni wazi kuwa Kuna nguzo imepungua kwa sasa katika timu yeti
Na...
Hii mechi ina maana kubwa sana, kama tutashinda itakuwa ni mwendelezo wa marekebisho katika zile timu ambazo zilitunyima ubingwa msimu wa 23
Zikiwemo Fulham ambayo tumeshinda, west ham ambayo tumeshinda na engine ni hii Aston villa, kwahiyo kama tutashinda itakuwa tumepata points 9 katika mechi...
Ushindi Ni wish ya kila Arsenal fan, ila ukweli ni kwamba kila mmoja anajua haitakuwa rahisi, na hasa ule mvurugiko wa backline yetu imefanya timu ikose balance kiaina
Hii game tukipata ata suluhu TU inatosha, maana Unai waga ni kama vile bado ana bifu na Arsenal, huwa anachukulia very personal
Wakati sisi tunaomba suluhu na City nae apate suluhu kwenye game yake na Sunderland lasivyo maji yatazidi Unga
Wewe unachanganya nyakati, wakati Arsenal wanamtaka Caicedo ilikuwa ni Dirisha dogo ndio wakatuma offa mara mbili Brighton wakagoma na kusema hawamuuzi
ilipofika dirisha kubwa vita ikawa ni Chelsea na Liverpool, wakati huo Arsenal yeye anachuana na Man City katika kupata Saini ya Decline Rice...
Arsenal katika Dirisha dogo la January 2023 walikutana na Kambi ya caicedo pamoja na caicedo mwenyewe na kumalizana nao kila kitu kuhusu personal term's
Bahati mbaya Brighton wakajua na hawakupendezewa na tabia ya Arsenal kukutana na mchezaji wao, Arsenal wakapeleka dau la kwanza £60 Brighton...
Arsenal katika Dirisha dogo la January 2023 walikutana na Kambi ya caicedo pamoja na caicedo mwenyewe na kumalizana nao kila kitu kuhusu personal term's
Bahati mbaya Brighton wakajua na hawakupendezewa na tabia ya Arsenal kukutana na mchezaji wao, Arsenal wakapeleka dau la kwanza £60 Brighton...
Mkuu pole sana na changamoto unayopitia ila ukweli ni kwamba hiyo changamoto wanapitia watu Wengi sana katika Nchi yetu
Ila ifikie hatua tuujue ukweli kuwa katika Nchi yetu ukitaka vitu muhimu uvipate kwa njia ya Halali utataseka sana
Kama wewe kwako jambo unaliona ni la umuhimu mkubwa fight...
Mkuu mimi ni mfugaji tu na sio mtaalamu wa chakula, na maana niliyotoa ni kwa mujibu wa watu wanaotuuzia hizo concentrate ndio wanatuambia hivo
Kwahiyo kama nimekosea karibu unisahihishe, inawezeana kwa namna moja au ingine tunadanganywa na Hawa wauzaji, kwahiyo kuliko kuishia kucheka ni bora...
Mkuu umetangaza biashara yako ikiwa nusu sasa sijui wateja utatupata vipi
Tumejua mnauza koudjis concentrate ila hatujui bei,hatujui mnapatikana wapi,hatujui mawasiliano yenu
Nadhani ungekamilisha taarifa za msingi ili wafugaji tuone kama inawezekana kufanya kazi pamoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.