Recent content by Anigrain

  1. Anigrain

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huko kuzuri mzee Mwenzangu
  2. Anigrain

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hawa watu wamepata shavu sana, kuna raha sana kuanzia kazi katika Taasisi za maana kama hizi
  3. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Shida ni kwamba kwa sasa timu yetu imepoteza balance hasa kwenye kupata magoli, tulikuwa tunafunga magoli aima zote yani kwenye set piece na open play Ila tangu Gabriel apate majeruhi hatujafunga tena goli la set piece na hii ni wazi kuwa Kuna nguzo imepungua kwa sasa katika timu yeti Na...
  4. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii mechi ina maana kubwa sana, kama tutashinda itakuwa ni mwendelezo wa marekebisho katika zile timu ambazo zilitunyima ubingwa msimu wa 23 Zikiwemo Fulham ambayo tumeshinda, west ham ambayo tumeshinda na engine ni hii Aston villa, kwahiyo kama tutashinda itakuwa tumepata points 9 katika mechi...
  5. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ushindi Ni wish ya kila Arsenal fan, ila ukweli ni kwamba kila mmoja anajua haitakuwa rahisi, na hasa ule mvurugiko wa backline yetu imefanya timu ikose balance kiaina
  6. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii game tukipata ata suluhu TU inatosha, maana Unai waga ni kama vile bado ana bifu na Arsenal, huwa anachukulia very personal Wakati sisi tunaomba suluhu na City nae apate suluhu kwenye game yake na Sunderland lasivyo maji yatazidi Unga
  7. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wewe unachanganya nyakati, wakati Arsenal wanamtaka Caicedo ilikuwa ni Dirisha dogo ndio wakatuma offa mara mbili Brighton wakagoma na kusema hawamuuzi ilipofika dirisha kubwa vita ikawa ni Chelsea na Liverpool, wakati huo Arsenal yeye anachuana na Man City katika kupata Saini ya Decline Rice...
  8. Anigrain

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Arsenal katika Dirisha dogo la January 2023 walikutana na Kambi ya caicedo pamoja na caicedo mwenyewe na kumalizana nao kila kitu kuhusu personal term's Bahati mbaya Brighton wakajua na hawakupendezewa na tabia ya Arsenal kukutana na mchezaji wao, Arsenal wakapeleka dau la kwanza £60 Brighton...
  9. Anigrain

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal katika Dirisha dogo la January 2023 walikutana na Kambi ya caicedo pamoja na caicedo mwenyewe na kumalizana nao kila kitu kuhusu personal term's Bahati mbaya Brighton wakajua na hawakupendezewa na tabia ya Arsenal kukutana na mchezaji wao, Arsenal wakapeleka dau la kwanza £60 Brighton...
  10. Anigrain

    Natafuta kazi ya matibabu kwa wanyama

    Mkuu naamini unataka kumaanisha VCT na sio VTC kama unavoandika
  11. Anigrain

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aisee naona Bahati ndio imeamua kukaa upande tofauti na wewe, ila itakuja tu ni swala la Muda. All the best
  12. Anigrain

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mbaga hivi kwani bado tu hujapata kazi Gavoo?
  13. Anigrain

    Tangu Mwaka 2017 naishi Mkoa tofauti na mke wangu sababu ya kukosa uhamisho kazini, ndoa yangu ipo shakani

    Mkuu pole sana na changamoto unayopitia ila ukweli ni kwamba hiyo changamoto wanapitia watu Wengi sana katika Nchi yetu Ila ifikie hatua tuujue ukweli kuwa katika Nchi yetu ukitaka vitu muhimu uvipate kwa njia ya Halali utataseka sana Kama wewe kwako jambo unaliona ni la umuhimu mkubwa fight...
  14. Anigrain

    Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Mkuu mimi ni mfugaji tu na sio mtaalamu wa chakula, na maana niliyotoa ni kwa mujibu wa watu wanaotuuzia hizo concentrate ndio wanatuambia hivo Kwahiyo kama nimekosea karibu unisahihishe, inawezeana kwa namna moja au ingine tunadanganywa na Hawa wauzaji, kwahiyo kuliko kuishia kucheka ni bora...
  15. Anigrain

    Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Mkuu umetangaza biashara yako ikiwa nusu sasa sijui wateja utatupata vipi Tumejua mnauza koudjis concentrate ila hatujui bei,hatujui mnapatikana wapi,hatujui mawasiliano yenu Nadhani ungekamilisha taarifa za msingi ili wafugaji tuone kama inawezekana kufanya kazi pamoja
Back
Top Bottom