Papara, second best kwenye kucover distance na back passesKuna kipi ulikiona kwa Chelsea kwenye game na Barca ambacho unaamin wakichezq vile vile basi wanakufa nyingi mtaalam
Papara, second best kwenye kucover distance na back passesKuna kipi ulikiona kwa Chelsea kwenye game na Barca ambacho unaamin wakichezq vile vile basi wanakufa nyingi mtaalam

Chelsea kushika nafasi ya pili (kwa muda) wanajiona nao ni team bora eeChelsea wasogeza mabango ya matangazo karibu na uwanja ili kuzuia mipira mirefu ya kurusha ya Arsenal
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Uingereza, Chelsea wamesogeza mabango ya matangazo karibu zaidi na uwanja ili kupunguza nafasi ya Arsenal kurusha mipira mirefu (long throws) kwenye mechi ya wikiendi hii.
View attachment 3509244
Ni team Bora au ujui sisi ndio mabingwa wa club wa dunia kulipata hili kombe utaishia Kuona tu kwenye tv kwa wanaume wengineChelsea kushika nafasi ya pili (kwa muda) wanajiona nao ni team bora ee
😂😂😂Ni team Bora au ujui sisi ndio mabingwa wa club wa dunia kulipata hili kombe utaishia Kuna tu kwenye tv kwa wanaume wengine
Wakati Caicedo amehojiwa Leo kuelekea mechi na Arsenal akaulizwa na daily Mail kwanini aliichagua Chelsea na si Arsenal alivyokuwa anawaniwa vilabu vyote viwili
Hii ni AI, angalia nembo ya gemini chini kuliaChelsea wasogeza mabango ya matangazo karibu na uwanja ili kuzuia mipira mirefu ya kurusha ya Arsenal
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Uingereza, Chelsea wamesogeza mabango ya matangazo karibu zaidi na uwanja ili kupunguza nafasi ya Arsenal kurusha mipira mirefu (long throws) kwenye mechi ya wikiendi hii.
View attachment 3509244
Hamna kitu, Arsenal walikuwa washamchukua Rice mwezi mmoja kabla. Kwanza mlimaliza wa 12 kabla ya dirisha hilo. Sijui hiyo ambition aliiona wapiWakati Caicedo amehojiwa Leo kuelekea mechi na Arsenal akaulizwa na daily Mail kwanini aliichagua Chelsea na si Arsenal alivyokuwa anawaniwa vilabu vyote viwili
Caicedo: Niliamua kusubiri offer ya Chelsea japo Arsenal walikuwa wa Kwanza kuonesha wananihitaji sababu iliyomfanya niichague Chelsea kwasababu Wana big ambitious na kuchukua makombe hiyo ilinivutia kujiunga nao
Mkuu nenda kafatilie vizuri mlitoa pound 70m Brighton wakakataa, sio tu Caicedo huo msimu tulimleta pia Enzo Fernandez ni kweli hatukuwa kwenye nafasi nzuri kwenye ligi but history ya kuwin Mataji ndio ilikuwa inatubeba Hadi Sasa na project yetu inauzika kwa wachezajiHamna kitu, Arsenal walikuwa washamchukua Rice mwezi mmoja kabla. Kwanza mlimaliza wa 12 kabla ya dirisha hilo. Sijui hiyo ambition aliiona wapi
Kwahyo na nyie kuongoza msimamo wa ligi ndo mnajiona mabingwa wa kihistoria ilhali tunajua na mnajijua nyie ni bottlers tu 😂Chelsea kushika nafasi ya pili (kwa muda) wanajiona nao ni team bora ee
Sasa kwani kumaliza nafasi ya 12 ndo nini mkuu au umesahau tulishawahi kumaliza nafasi ya 10 akajaga conte tukachukua kombe la epl msimu uliofuata hyo ndo maana halisi ya ambitionHamna kitu, Arsenal walikuwa washamchukua Rice mwezi mmoja kabla. Kwanza mlimaliza wa 12 kabla ya dirisha hilo. Sijui hiyo ambition aliiona wapi
HApa kuna kitu cha uongo umeandika. Caicedo alisema 'I was dying to join Arsenal' au 'I nearly get sick waiting for Arsenal' akiamini Arsenal ingepeleka ofa.Wakati Caicedo amehojiwa Leo kuelekea mechi na Arsenal akaulizwa na daily Mail kwanini aliichagua Chelsea na si Arsenal alivyokuwa anawaniwa vilabu vyote viwili
Caicedo: Niliamua kusubiri offer ya Chelsea japo Arsenal walikuwa wa Kwanza kuonesha wananihitaji sababu iliyomfanya niichague Chelsea kwasababu Wana big ambitious na kuchukua makombe hiyo ilinivutia kujiunga nao
History ya kuwin mataji? Ile mikataba ya miaka 7 inayosababisha wakina Mudryk wasitake hata kukata rufaa unadhani ni jambo dogo?Mkuu nenda kafatilie vizuri mlitoa pound 70m Brighton wakakataa, sio tu Caicedo huo msimu tulimleta pia Enzo Fernandez ni kweli hatukuwa kwenye nafasi nzuri kwenye ligi but history ya kuwin Mataji ndio ilikuwa inatubeba Hadi Sasa na project yetu inauzika kwa wachezaji
Kipindi hicho cha kina Leicester ni sawa ila sahivi hakuna miujiza ya namna hiyoSasa kwani kumaliza nafasi ya 12 ndo nini mkuu au umesahau tulishawahi kumaliza nafasi ya 10 akajaga conte tukachukua kombe la epl msimu uliofuata hyo ndo maana halisi ya ambition
Jibu lenye viwango vya GPA 4.5 first classSasa kwani kumaliza nafasi ya 12 ndo nini mkuu au umesahau tulishawahi kumaliza nafasi ya 10 akajaga conte tukachukua kombe la epl msimu uliofuata hyo ndo maana halisi ya ambition
Walikuwa wanamtaka Caicedo walikuwa watatu Arsenal, Chelsea na Liverpool. Arsenal ilikuwa ndio team ya Kwanza kutoa offer na walitoa paund 70m Brighton wakakataa ndipo Liverpool ikaingia na sisi ndio tukafata mkuu ebu kuwa na kumbukumbu vizuriHApa kuna kitu cha uongo umeandika. Caicedo alisema 'I was dying to join Arsenal' au 'I nearly get sick waiting for Arsenal' akiamini Arsenal ingepeleka ofa.
Arsenal haijawahi kupeleka ofa kwaajili ya Caicedo. Mlikua mnashindana na Liverpool.
Mnapata faida gani kuandika uongo nyinyi watu?
Tangu kuanzia miaka 2000 mpaka Sasa hajawahi kupita misimu miwili bila kuwin trophy. Mechi ya Leo nakuomba aanza kuangalia game mwanzoni kabisa kabla mpira hujaanza huone atmosphere ya Stanford bridge najua mashabiki watawadhiaki vibaya mno mabango yatakuwa Kama yoteHistory ya kuwin mataji? Ile mikataba ya miaka 7 inayosababisha wakina Mudryk wasitake hata kukata rufaa unadhani ni jambo dogo?
Cut the crap bruv
Arsenal katika Dirisha dogo la January 2023 walikutana na Kambi ya caicedo pamoja na caicedo mwenyewe na kumalizana nao kila kitu kuhusu personal term'sMkuu nenda kafatilie vizuri mlitoa pound 70m Brighton wakakataa, sio tu Caicedo huo msimu tulimleta pia Enzo Fernandez ni kweli hatukuwa kwenye nafasi nzuri kwenye ligi but history ya kuwin Mataji ndio ilikuwa inatubeba Hadi Sasa na project yetu inauzika kwa wachezaji