Uwe unapitia akaunti yako uliyoifungua kwa ajili ya kufanya maombi, huwa wanaweka taarifa za kuitwa na tarehe ya kufanyiwa usahili katika akaunti yako.
Na ukitaka pia kuona majina ya ujumla basi fungua au peruzi tovuti ya Ajira Portal ukishaifungua utaona maelekezo tu.
Karibu.
Nina hitaji mke wa kufanya maisha nae.
"Wale wanaoachana kwenye ndoa na wamekula kiapo kuwa wataishi kwenye shida na raha mpaka kifo kitakapo watenganisha lakini waliowengi wanaachana wakati wa shida na hakuna anayevumilia". Sasa hapo walikuwa wanamdanganya nani kati ya aliyewafungisha ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.