Andy Black
Member
- Jan 10, 2019
- 16
- 13
Habari!
Nahitaji mke wa kuoa.
Sifa (Mimi)
1. Kiimani: Mcha Mungu.
2. Tabia: Mpole.
3. Dini: Mkristo.
4. Kazi : Sina kwa sasa ila nipo kwenye kutafuta.
5. Elimu : Shahada.
6. Mtazamo: Mtu chanya.
7. Kabila : Msukuma.
8. Umri: 29 miaka.
9. Rangi : Mweupe kiasi (kawaida)
Mke (nimtakaye).
1. Kiimani : Awe mcha Mungu.
2. Tabia : Awe mpole.
3. Dini: Awe mkristo.
4. Kazi : Sio kipaombele.
5. Elimu : Itapendeza akiwa na stashahada na kuendelea.
6. Mtazamo : Awe mtu chanya.
7. Kabila : Lolote lenye tamaduni nzuri.
8. Umri : 20 - 26.
9. Rangi : Yoyote iliyo asilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji mke wa kuoa.
Sifa (Mimi)
1. Kiimani: Mcha Mungu.
2. Tabia: Mpole.
3. Dini: Mkristo.
4. Kazi : Sina kwa sasa ila nipo kwenye kutafuta.
5. Elimu : Shahada.
6. Mtazamo: Mtu chanya.
7. Kabila : Msukuma.
8. Umri: 29 miaka.
9. Rangi : Mweupe kiasi (kawaida)
Mke (nimtakaye).
1. Kiimani : Awe mcha Mungu.
2. Tabia : Awe mpole.
3. Dini: Awe mkristo.
4. Kazi : Sio kipaombele.
5. Elimu : Itapendeza akiwa na stashahada na kuendelea.
6. Mtazamo : Awe mtu chanya.
7. Kabila : Lolote lenye tamaduni nzuri.
8. Umri : 20 - 26.
9. Rangi : Yoyote iliyo asilia.
Sent using Jamii Forums mobile app