Recent content by alngwea

  1. A

    Kinjekitile Ngombale Mwiru: Haiingii akilini kila mwenye tuhuma na kashfa akimbilie upinzani

    Mbon daud anatuhumiwa lakin hajakimbilia huku
  2. A

    Nitakubali utetezi wa Steve Nyerere endapo nitajibiwa maswali haya

    Kam anasema aliongopa kwenye audio ili wema asiondke... Atashindwa kuongopa kwenye presd conference?
  3. A

    Sirro: Marufuku bodaboda baada ya saa 6 usiku

    Hapo anaatarisha usalama wa raia km mama ntilie wanaojidamka asubh kufat mahitaji na wauza samaki.... Wasafiri ambao huchelewa kuingia dar kwa sababu mbalimbali... Yaan sasa panya road kazini kivamia
  4. A

    Zamani vs kisasa

    Zamani tulijua watoto wanannulia sajv hat mtoto hajaanza nursery anajua mtoto anapatikan vip
  5. A

    Rais Magufuli aokoa Bilioni 900 kwa kuzuia safari za nje

    Wala sio vy bure atoke nje alitangaze taifa hasa azma yake ya viwanda ili makampn yaj kuwekeza ajira zipatkne, kodi ilipwe, tu export product GDP ikue as well as social welfare and not just words....
  6. A

    Rais Magufuli aokoa Bilioni 900 kwa kuzuia safari za nje

    Je amekosa billion ngapi kutoka kwa wawekezaji na wahisani kama angeenda? Kama angetumia hizo billion 900 hafu akaingiza mara tatu ya hizo lipi bora?... Sio kwamba napinga ila angalia opportunity cost ya kutokwenda kipi kaloose...
  7. A

    Bombardier Q400 yapata hitilafu Mwanza

    Imennuliwa juzi leo injini tatzo.... Au ya mtumbaaaaa
  8. A

    Kazi ya Dr. Slaa kwa awamu ya Tano

    We mbn hujasema awekwe wap
  9. A

    Natoka kimapenzi na shangazi yangu

    Nawasiwasi na degree yako
  10. A

    Hoja ya kutovaa majoho ni halali kutekeleza ?

    Nchi ishakua ya matamko hii
Back
Top Bottom