Hapo anaatarisha usalama wa raia km mama ntilie wanaojidamka asubh kufat mahitaji na wauza samaki.... Wasafiri ambao huchelewa kuingia dar kwa sababu mbalimbali... Yaan sasa panya road kazini kivamia
Wala sio vy bure atoke nje alitangaze taifa hasa azma yake ya viwanda ili makampn yaj kuwekeza ajira zipatkne, kodi ilipwe, tu export product GDP ikue as well as social welfare and not just words....
Je amekosa billion ngapi kutoka kwa wawekezaji na wahisani kama angeenda? Kama angetumia hizo billion 900 hafu akaingiza mara tatu ya hizo lipi bora?... Sio kwamba napinga ila angalia opportunity cost ya kutokwenda kipi kaloose...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.