Sirro: Marufuku bodaboda baada ya saa 6 usiku

Sirro: Marufuku bodaboda baada ya saa 6 usiku

Uhalifu ni jambo la kupingwa kwa nguvu zote lakini kulemaza ukuaji wa uchumi kwa kisingizio cha usalama ni makosa... Kwa muda mfupi nilioishi Dar es salaam nilishangaa kwamba usafiri wa mabasi ni marufuku usiku yaani baada ya saa nne usiku... Tafakari ungeruhusiwa kuondoka Dar saa kumi jioni nina uhakika saa mbili asubuhi utakuwa Mwanza.... Unafanya shughuli zakl halafu saa kumi jioni unaanza safari ya kurudi Dar... Unalala usiku safarini... Hivyo unajenga uchumi wa saa 24.... Mimi Naishi Mombasa kwetu ni Isebania /Sirare umbali wa kilomita 900 ... Kwa sababu ya speed governors kenya gari haliwezi kkwenda kwa spidi ya zaidi ya 80km/h... Naondoka Mombasa saa kumi saa kumi na mbili alfajiri niko Nyumbani.... Nafanya shughuli zangu na sipotezi.... Ila hili lifanyiwe mkakati ambao utawawezesha wananchi watanzania kuokoa muda na kukuza Uchumi.. Tanzania ni nchi yenye uwezo mkubwa sana tatizo ni roadside declaration...
 
Huo usalama anaoutaka asipoupata atapiga marufu watu kutembea usiku
Huyu jamaa kichekesho ameshindwa kulinda vituo vidogo vya polisi ataweza nini,labda kukamata mateja
Ndipo tunapoelekea huko

Ova
 
Kamanda wa polisi mkoa wa Dar Simon Sirro amepiga marufuku boda boda kufanya kazi baada ya saa 6 usiku kutokana na sababu za kiusalama


Hiyo ni kwa mujibu wa sheria au ni curfew? Kutembea usiku kwa bodaboda ni kuvunja sheria za barabarani?

Vv
 
Sio kila mtu ana uwezo wa kukodi taxi. Matamko République
 
Serikali awam ya 5 babu kubwa, Sheria na kanuni za mamulaka ya uongozi wamezitia mfuko wa nyuma, kilicho baki kila mmoja akilala akaota anatoa tamko
 
Hiv hawa watu wanajielewa kwel..kazi yao ni kulinda sio kulazimisha watu kulala..dunia ya leo unalazimisha watu walale saa sita..ina maana kila mtu dar anamiliki gari..hakuna logic hata kidogo..afu kamanda mzma!
 
Hapo anaatarisha usalama wa raia km mama ntilie wanaojidamka asubh kufat mahitaji na wauza samaki.... Wasafiri ambao huchelewa kuingia dar kwa sababu mbalimbali... Yaan sasa panya road kazini kivamia
 
Twafa...siro ondoa agizo lako haraka sana..tena sana hivi kila mtu atakuwa na uwezo wa kupanda bajaji au taxi pale atakapo hitaji usafiri baada ya SAA 6... Let's say me natoka kazini nimechelewa kufika nyumbani nashuka kitua cha daladala baada ya SAA 6 itakuwaje??? Au ndio unaongeza ukabaji !!!
 
kwa hiyo watu watembee kwa mguu! maana hapa Dar saa saba usiku wapo wanaorudi makazini na wale wanaoenda mfano machinjioni kuchukua nyama za supu na kuuza kesho yake, Hamuoni mtakuwa mmewapa wakati mgumu watu kama hawa. We kujibu ndio bila kubalance, hii haitazuia uharifu, sana sana itaongeza rushwa mana sasa polisi watazunguka mitaani kuwabugudhi bodaboda wawape chochote au kuwakamata.
Serikali iwekezekwa polisi kukabiliana na changamoto hii na wala sio kuwazuia bodaboda usiku, wanatusaidia sana sie wa mtaani tusikabwe ovyo. Hapa kipaumbele unachosema hakizingatiwa
Mkuu kimsingi marufuku ya kamanda siro itaongeza kudorora kwa usalama, maana ukiacha wanaotoka kazini kuna wasafiri wanaotegemea usafiri wa bodaboda.sasa tunaandaa kabali za mbao na kina Dada kubakwa.
 
Causal effects bado ni shida nchi hii. We know all the problems we have, but we don't know the root causes of the problems, as a result, we fail to come up with right solutions. Sometimes even worse than before.
 
Ili usikabwe mtaani unapanda bodaboda. Sasa zikipigwa marufuku si tutakabwa mpk basi
 
Ili usikabwe mtaani unapanda bodaboda. Sasa zikipigwa marufuku si tutakabwa mpk basi
Panya road,kiboko msheri na magenge yote ya vibaka yataanza upya kusumbua dar. labda na vibaka wapigwe marufuku kuzurula usiku!
 
Panya road,kiboko msheri na magenge yote ya vibaka yataanza upya kusumbua dar. labda na vibaka wapigwe marufuku kuzurula usiku!
Mi mwenyewe naona hivo ni bora sirro agizo lienda sambamba na vibaka kutukaba usiku.
 
Back
Top Bottom