Dah,,,, watu wengine wa ajabu sana,,,, hivi hizi ndege si zimenunuliwa kwa hela za walipa kodi wa Tanzania? Sasa kinachokufanya ushabikie hitilafu ni nini? Badala ya kisikitika kuwa kodi zetu zinaenda kutumika kufanyia marekebisho,,, wewe unafurahia eti,, tulijua tu,,,,, mmmh! Mungu iponye Tanzanaia
ili iweje?Kama nawaona Bawacha na Ukawa wanavyo fanya sherehe.
Au Yale maji wakati zinaingia itakuwa yalijaa ndani ya engen,Maana umwagiliaji sijauelewaelewa.View attachment 466077
Zaidi ya abiria 70 wa ndege ya Bombadier Q dash 400,waliokuwa wakisafiri kutoka jijini Mwanza kuelekea jijini Dar es salaam jana majira ya saa moja usiku,wameshindwa kusafiri kwa kutumia ndege hiyo kutokana na kupata hitilafu kwenye moja ya injini zake.
Kaimu Meneja wa uwanja wa ndege Mwanza David Matovolwa amesema kutokana na ndege hiyo yenye namba za usajili 5H TCB, kupata hitilafu ikiwa inataka kunyanyuka kwenye barabara ya kutulia na kurukia ndege ( runway ), ilibidi abiria kubadilishiwa ndege iliyotoka Dar es salaam ambapo waliweza kuondoka majira ya saa saba kasorobo usiku huo huo.
Akithibitisha ndege hiyo kupata hitilafu, Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la ndege Tanzania ( ATCL ), Mhandisi Emmanuel Koroso ameiambia ITV kwa njia ya simu kwamba ndege hiyo imeondoka uwanja hapo hii leo majira ya saa 4.30 asubuhi kuelekea jijini Dar es salaam ikiwa haina abiria baada ya mafundi kuifanyia matengenezo ya awali.
Shirika la ndege Tanzania lilizindua rasmi safari za ndege zake aina ya Bombadier Q dashi 400 kati ya Dar es Salaam na Mwanza Oktoba mwaka jana, ambapo ndege hiyo iliwasili mwanza kwa mara ya kwanza saa 10.45 jioni ikiwa Katibu mkuu wa Wizara ya ujenzi,uchukuzi na mawasiliano Leonard Chamriho na kupokelewa na mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella.
Chanzo: ITV
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] you made my day comrade!Wabadilishe yule Twiga na Wamuweke Faru John.
Twiga ameonekana kushindwa kwenye kila Shirika.
Tanesco, Twiga Cement n.k
Hata kwenye pesa yetu ndio maana Uchumi haukui.
Sio mnyama wa maendeleo na bahati.
Huenda ila kuna haja ya kuzichunguzabkwa ukaribu isijekuwa kuna hujuma ama hazifanyiwi periodic maintanance si unajua kibongobongo?[emoji4] [emoji4]siku hii ndege ikipotea angani au kuanguka kuna wajinga watachinja kuku na kupika pilau...
That is not my concern..the key issue here is why are we not ready to accept the truth that Bombardier Q400 ni kimeo? Hizi ni ndege zinazotengenezwa special for irrigation purpose and not kubeba abiria.
Kama kawaida yenu....Mmh!!!Anyway!
Wakati hitilafu kwenye vyombo vya moto ni kawaida...ingeanguka wangechinja ng'ombe wale, wanywe, wafurahi walivyo na roho mbaya zenye kutu na kinyongoKama nawaona Bawacha na Ukawa wanavyo fanya sherehe.
Kila siku ndege inaugua!Sijawahi hata kufikiria kubook hilo dege aisee khaa
Ndo ujue watz wengi walivyo majuha wamepumbazwa na siasa hadi kuona kila kifanywacho na serikali ni kibaya.. Mungu saidiasiku hii ndege ikipotea angani au kuanguka kuna wajinga watachinja kuku na kupika pilau...
Nadhani kuna muda tunapaswa kuombewa maana si kwa chuki hizi... Siasa kuna wakati naichukia sanaIkitokea ATCL ni nongwa lakini ikiTokea mashirika mengine sawa tu
Sijawahi kusikia kuwa fastjet imepata hitilafu ,yaani vyombo vya habari kama ITV ikitokea tatizo kwenye Atcl lazima walipot sijui Huwa Wana lengo Gani ,any way hii ndio nchi yetu watu hawapendivyetu.Kama nawaona Bawacha na Ukawa wanavyo fanya sherehe.
Unafikiri kwanin mbowe asipo lipa Kodi inakuwa big story ??? hata hao wengine hawalipi lkn ,vyombo vya habari vipo kimya ...Kila siku yenyewe ni hitilafu tuuuu bora nitembee kwa miguu tu