Kutambulika sio hoja mbaya, ni watumishi wetu wa umma. Ni sawa na Wapenzi wawili mke na mume tunawajua na tumeshuhudia mpaka ndoa yao, lakini wayafanyayo wakiwa faragha hatuyajui hivyo haijalishi huyu kumjua ilimuradi ayatendayo tunaona matokeo tu
Story nzima toka Ijumaa naifuatilia ila nakua na kigugumizi cha mtaji tu. Mimi nipo Moro ninakabiashara cha Mgahawa mjini kati jirani na stand ya Hiace, napenda sana Biashara ila msukumo ndio bado sijaupata wa kunionyesha njia ya kutoboa
Hawa wasajili namba utpeli wao ni kwa kua amekujua, anampa mwenzake namba alafu anacopy na kupaste muamala wa fedha, then anakutumia lakini ndani ya dakika sifuri anaejidai ajente anakupigia simu kwamba Fulani ametuma pesa kimakosa kwenye simu yako tafadhali naomba mrudishia sasa hivi...
NHIF nisaidieni.NIPO NYUMBANI UMRI ZAIDI MIAKA 18 SISOMI NAJISAIDIA MDOGO MDOGO, BABA ANATAKA KUNIKATIA BIMA NHIF ANAAMBIWA NI ZAIDI MILLIONI MOJA, NAKUMBUKA ZAMANI TULIAMBIWA NI WASTANI WA LAKI MOJA KWA MWAKA, NAOMBA UFAFANUZI, SITAKI CHF NATAKA NHIF.
jf tuache matani, mimi ninalo eneo fresh katikati ya mji wa morogoro, naendesha biashara ya mgahawa lakini haiendelei, wanga wengi, chuma ulete sijui inakuaje, nikiuza pesa sioni na uuzaji wenyewe kwa siku naweza kupka mchele kg 1 na unga kg1 yaani inaumaa!! eneo nalilipia, kuliachia naona...
Daa! uzi nimeupenda sanaa. Mimi ni Muhanga wa zao la Muhogo, nimelima zaidi ya Ekari 5, Muhogo umekomaa Wateja siwaoni na pa kuuza sina. Mimi nipo wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga jirani na Mpaka wa nchi ya Kenya kwa boda ya Horohoro. Kwa watu wachache ninao wauzia nabakiwa na mihogo mingi ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.