Kampuni ya Dar Lux ruti ya Mwanza-Dar muache ubabaishaji

Kampuni ya Dar Lux ruti ya Mwanza-Dar muache ubabaishaji

kweli mkuu! mara nyingi najiulzaga nimefungiwa engine ya nini? maana yapo pouw sana kwa mwendo
Ile body yake ni ya kuunda local body hafu imefungwa engine ya scania, haichemshi wala haina mlima inapasha tu.
 
Wajinga sana watu wa ma bus.kuna kampuni nimeisahau.
Nilipanda bus tokea dodoma nikiwa na mtu fulani tuna bag size ya kati moja na kubwa moja pamoja na gunia nusu la mchele sasa badala wa charge lile gunia hela ya mzigo wakataka na zile bag tulipie ikabidi tu nilipie


Hukujua kama kuna SUMATRA japo nayo imebakia na mapengo matupu kinywani
 
Huwezi ukalinganisha huduma ya Dar lux njia ya mwanza na basi nyingine yoyote ile kwenye njia ile kulala inatokea mambo njiani yamekuwa mengi sana but lazima **** sababu dar ni luxurious and comfortable bus to travel utafurahia safari kiyoyozi cha kuvaa suti utakipata pale na kila Aina ya huduma nzuri utaipata dar lux.
Abood ni luxury and fully ac at all.
 
Orodha ya magari yenye uhakika wa kufika siku hiyohiyo ni
1. Kisbo
2.Kibo 2×2
3.Kisesa
3. Super sami 2×2
Haya ni uhakika ila Kisbo ni uhakika zaidi na mapema sana kuliko zote. Dar lux hakuna gari pale.
 
Sikujua kama ni kasumba, kuna siku tumeanza safari saa 4 asubuhi pale Nyegezi.... Japo walituma taarifa usiku kuwa tutachelewa kuondoka kisa gari ililala njiani. Wamulikwe kuanzia kupandisha nauli yao, hawana uspesho wowote..... Wi-Fi hainaga hata bando mkwara tu.
Anhaa,
So Mkuu unapafahamu Nyegez kumbe?
 
38042622_2125902771001767_9146299037706616832_n.jpg
Mi tangu enzi na ènzi napanda Kisesa au zuber...sijawah lala njiana hata sku moja mida ya kufika ubungo au nyegezi ni saa 11:30 mpak saa 12:00 usiku...na jamaa huwa anapeleka gar mbili dsm na kurudisha mbili mwnz..wakat mwingne hata tatu...na huwez pata siti siku moja kabla labda kwa emergence sana...bei ni affordable Tsh 40000....na ni Higer za maana
 
Wivu tu. Dar lux ni kampuni bora sana, sioni wa kulinganisha naye kwa 'ruti' ya Dar - Mwanza.
Inaweza ikawa kampuni bora kweli ila ili ubora wao uendelee kuwepo wanatakiwa wawe na bus la akiba kila mwisho wa safari yaani Dar linakuwepo na Mwanza linakuwepo ili ratiba ya safari iwe kama ilivyopanga...Zuberi na Kisesa ni kampuni za kawaida kabisa lakini hakuna delay kabisa kwa abiria

Nadhani SUMATRA, wasitoe leseni kwa kampuni ambazo zina bus mbili zinazopishana hasa kwa safari za mbali kama Dar - Mwanza, Dar - Tunduma, Dar - Songea (yaani gari inayokwenda Mwanza leo ndio hiyo hiyo inayogeuza saa 12 asubuhi kesho yake kutokea Mwanza na kama wakipewa hizo leseni basi awe anaruka siku maana ana magari machache kwenye njia hiyo. Dar lux kampuni kubwa inaweza ikawa ina gari moja Mwanza ya dharula ili kulinda jina la kampuni na wakati yupo Mwanza anamba leseni ya kufanya safari Mwanza - Musoma ili asiseme analipa wafanya kazi bure (anakuwa anapiga safari fupi fupi za Musoma jioni anakuwa yupo Mwanza anasubiri route yake ya saa 12 na linaloingia Dar usiku huo kesho yake linapiga route ya Musoma na kurudi (na Madereva wanauwa wamepumzishwa kiana)
 
USIOMBE KUSAFIRI SAFARI ZA MASAFA MAREFU NA BINTI MDADA MREMBO UTAJUTA KWA KUKOSA KUONGEA NAEE





Nakumbuka mwezi wa nane mwaka huu nilienda mwanza nyumbani kutokea DAR kwa basi la DAD LUX pale shekirango tuliondoka saa 7 mchana kwenda mwanza , sasa ndani ya basi alikuwamo binti mmoja mzuri mithili ya miss Tanzanian a probably atakuwa UNIVERSITY STUDENT hapa,, sasa lets go huku👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👉🏾👉🏾👉🏾👉🏾👉🏾👉🏾 sasa ndani ya basi mie nilikaa siti za katikati upande wa kulia yeye akakaa upande wa kushoto mwa gari kama siti mbili kutoka kwangu , sasa ki ukweli nilitokea kutamani kuongea nae huyo mdada probably hata aniambie jina lake tuuuu sasa kulinhana na hile shobo ya macho ya watuuu MKAKA WA WATU SIMU YANGU IKAISHIWA CHAJI NIKAMWOMBA ANICHAJIE SASA DAH KI UKWELI SIKU ILEEEE NILITAMANI SANA HATA KUONGEA NAE JAPO NIJUE JINA LAKE TUU maana safari nzima nilikaa siti moja na mzee mmoja hivi ila yye alishukia shinyanga dah basi NIKAAMBULIA TUU YEYE KUNICHAJIA SIMU YANGU



Tulipofika mwanza pale ofisi za dar lux nyegezi lilikuwa saa 5 mchana , basi tukashuka sasa sijui binti alinielewa ,, au sijui ninii aseeeeeeeeeee mie harakatii zangu hata sikuwa na idea kuwa nmeshaelewek sijui nisemeje tuuuuuu dah DAH KWA KWELI NI SAFARI AMBAYO ILIENFA VIBAYA SANA KWANGU JAPO ALINISAIDIA KUCHAJI SIMU,,. .



HEY ww ka bintii ka rembo tulio safiri pamoja kutoka dar kwenda mwanza na basi la dar lux na wote tukashukia nyegezi dar lux offices PLEASEEEEE KAMA HUMO HUMU JAMII FORUMS *******NIKUMBUKE MIMI YULE MKAKA PROBABLY THE SAME AGE ,, ,, , NILIEKUOMBA UNISAIDIE KUCHAJI SIMU YANGU NDANI YA BASI , , JAPOOO NAOMBA TUFAHAMIANE TUU KAMA UPO HAPA DSM MAANA TOU LOOK A UNIVERSITY GIRL,,,,, PLEASEEEEEEE NJ IN BOX AU UNAWEZA NI. TAG HAPAA
 
Hii kampuni imekua na tabia ya kuondoka jijini Mwanza kuanzia saa tatu asubuhi karibia safari zote. Imekua ni tabia sugu mno.
Hili sio jambo la kiungwana.
Ni usumbufu kwa abiria na uharibifu wa ratiba za abiria.
kama kuna namna mamlaka ya usafiri inaweza kukomesha hili wanajamvi naomba muongozo ntalisimamia hili mpaka wanyooke.

Shida ni mabasi kulala shinyanga yakifika yamechelewa so yanaingia mwanza asubuhi na kugeuza.
 
Wapo watu wachache wanaotuchafua Daima sisi Dar lux tutajitaidi kutoa huduma bora kwa wananchi
Tunafuatilia hoja zenu tutazifanyia kazi
Poleni sana wateja wetu tunawapenda sana
Msichoke kutushauri kama wateja wetu
Mtaona mabadiliko makubwa
 
Back
Top Bottom