Recent content by ali mc

  1. A

    Mwandishi Mayage S. Mayage umepotoka hatudanganyiki

    Nilichogundua ni kwamba wafuasi na wapenzi wengi wa chadema hawawezi kuvumilia kukosolewa hata kama jambo hilo lina maslahi na chama chao.kwa mwendo huu safari yao itakuwa na vikwazo vingi.
  2. A

    Basena out Simba SC

    Mimi ndo maana sipendi mpira wa bongo naona ni ujinga mtupu. Timu zote kubwa uingereza zimefungwa magoli mengi wala sijasikia kocha kufukuzwa wala nn.wanajipanga na kusonga mbele.Torres alikosa goli la wazi walipocheza na man na hakuambiwa chochote iweje okwi kukosa goli.simba waache mambo ya...
  3. A

    Igunga - Makubwa yaliyofanywa na Rostam ni yepi?

    Huu ni msiba.sjui watu wa igunga wapate shida gani zaidi mpaka wapate akili wasichague ccm.
  4. A

    NAPE: Watu wameshindwa kujitokeza kupiga kura wakiohofia kumwagiwa Tindikali

    Kweli nimeamini nape hafikirii kabla ya kusema .
  5. A

    Igunga: Mfuasi wa CUF kavamiwa na wafuasi wa CCM kapewa kipigo yupo hoi Hospitali

    Nadhani hujaelewa maana ya bakwata kutoa tamko lile.kama yule DC angepigwa tu bila kuvuliwa hijabu na stara yake basi wasingetoa tamko.lililokera ni kumvua hijabu muislam na si kumpiga muislam.mbona hujajiuliza waislamu wangapi wanapigwa kila siku na hawatoi matamko! Kaa chini tafakari kabla...
  6. A

    Shibuda ajichimbia kaburi lake

    Hayo ndo matatizo ya chadema kudaka watu tu njiani na kuwaingiza kwenye chama chao. Laiti wangemchunguza shibuda wasingempitisha kugombea ubunge.juzi marando alikuwa anajikanyaga tu alipoulizwa hatma ya shibuda.
  7. A

    Barua: Zitto akataa posho za vikao

    Mnafiki ni yule ambaye akiongea husema uongo,akiweka miadi hatimizi,na akiaminiwa hufanya hiyana.hawa chadema wanasema uongo kuwa hawapokei posho huku wakiziweka kibindoni?.wanafanyia hiyana wananchi. <br /> <br />
  8. A

    Kwa staili hii, CHADEMA itavunja muungano

    Mwaka huu lazima tujue moja ama serikali tatu au muungano uvunjike wote tujiunge na shirikisho la afrika mashariki bt wasiwasi wangu znz ipo ila tanganyika haipo sijui watashika wapi. Aliyosema Tundu Lissu ni sawa na namuunga mkono.wa znz waulizwe kama wanataka muungano,waksema hapana na mchezo...
  9. A

    Mbunge Mussa Khamis Silima afariki Dunia

    Mola ailaze roho yake mahala pema peponi.
  10. A

    Matokeo ya Kura za Maoni Igunga: CCM - Dr Kafumo, CHADEMA - Mwl Joseph Kashindye

    Nawashauri chadema wasitumie nguvu sana maana ni dhahir jimbo hawawezi kulipata.cuf wameota mizizi wao chadema wanaenda kuokoteza watu.wakiungana na cuf jimbo litakwenda upinzani la sivyo magamba watalichukua tena.hakuna option C. Tusubiri tuone <br /> <br />
  11. A

    Viongozi wa wilaya CHADEMA Singida wahamia CCM

    Chadema bado hakijawa chama imara cha kukabidhiwa madaraka ya nchi.haipo stable kuhimili changamoto zinazowakabili. Wajifunze cuf waliondoka mapalala, salum msabaha,naila jidawi,tambwe hiza,fatma magimbi na chama hakijaingia kwenye mgogoro wowote.leo kuondoka madiwani tu wanatetereka akiondoka...
  12. A

    Igunga wagombea kadi na bendera za CUF

    Kwani chadema na cuf nani walikuwa wapili kwenye nafasi ya ubunge?nafikiria bora chadema wangepumzika maana hawapati kitu huko
  13. A

    Tamko la Kamati Kuu ya CCM; Muda waongezwa kujivua gamba

    Bei ya mafuta ya taa wamepitisha bungeni waliposema ndiyooooo.sasa iweje waibane serikali wakati wanajua waliokosea ni wao.at least wameanza kusoma alama za nyakati. <br /> <br />
  14. A

    Visiwani wataka pasu kwa pasu vinginevyo muungano uvunjwe

    Chuki yako dhidi ya waislam haitakufikisha popote.jenga hoja,changia mada uwe great thinker.usiandike utumbo.nakuonea huruma kwani hujui uislam ni nini na unahusu nini.nakupa homework kausome uislam usiongozwe na jazba .
  15. A

    Muungano: Siku za maisha yake zinaelekea ukingoni?

    Mimi nashangazwa na viongozi wa tanganyika kung'ang'ania znz yetu.wabara wanaotaka muungano uvunje ni hawa wadogo ambao hawana kauli yoyote yenye athari kwa nchi.viongozi wanafaidika na muungano huu wa dhulma ndo maana wapo kimya.uvunjwe leo na wasingoje kesho halafu watupe miaka mitano tu waje...
Back
Top Bottom