Igunga wagombea kadi na bendera za CUF

wanainchi na wakazi wa igunga wamenunua kadi za cuf kwa wingi toka ujumbe ulipoondoka mkoani Dar es salaam kwenda jimboni humo kwa shughuli za kichama huku wakizunguka katika kata zote na vijiji wanainchi wamechukua bendera na kuzindua matawi mapya pamoja na kuongeza wanachama wapya, hii imepelekea kuagizwa kwa bendera na kadi zingine kutoka ofisi kuu Dar es salaam, hii kwajili ya kujiandaa na mtanange wa uchaguzi mdogo utakaofanyika ndani ya miezi 3 kuanzia sasa.
Isije ikawa ni jana ya Nape kucheza na akili za watu ili siku akiingia huko apokelewe kwa kukabidhiwa hizo bendera na kadi
 
Isije ikawa ni jana ya Nape kucheza na akili za watu ili siku akiingia huko apokelewe kwa kukabidhiwa hizo bendera na kadi
<br />
<br />
mh. inaonekana wewe ni mgeni na siasa, ukiogopa kuwapa watu kadi kwa hofu tu akija mpinzani wako zitarejeshwa utashindwa kujenga chama chenye uongozi.
 
Naona CCM B wamekutuma kuja kupima upepo hapa JF ili kukatisha tamaa wapiganaji na hatimaye jimbo lirudi mikonono mwa CCM.Mbona hujiulizi kama CUF ni maarufu Igunga mbona haina hata diwani ilihali walikuwa na mgombea ubunge mwaka jana? Chadema haikuwa na mgombea ubunge lakini ilivuna madiwani.A smallest calculation.
Hahahaahaha........umenifurahisha mkuu. Hii hesabu muliikataa mwaka jana hapa JF! Tulisema Slaa hawezi akawa amekaribia kushinda uchaguzi kwa sababu alipata wabunge wachache tena chini ya 30 wakuchaguliwa majimboni. Leo unaleta heabu hiyo hiyo kujustify nafasi ya CDM igunga?
 
Usaliti ni dhambi mbaya sana hawa CUf na sisiem lao moja wametumwa hao..wananchi wa leo sio wa enzi zilee
 
Badala ya kuichukulia kama challenge na kuifanyia kazi mna dharau, wenzenu washifika huko wanakamua kalabagho!
 
Chadema msipoteze muda wenu igunga hamna nafasi ya kushinda,afadhali hela hiyo ya kampeni mpeleke kuendeleza matawi yenu mkoa wa kilimanjaro
 
Kwani chadema na cuf nani walikuwa wapili kwenye nafasi ya ubunge?nafikiria bora chadema wangepumzika maana hawapati kitu huko
 
hawa cuf mimi nawaaminia siasa zao nzuri, kichama nasikia wana uongozi kila kata ktk jimbo la igunga hawa ni waumini wa kujenga mtandao wa chama tofauti na cdm.
 
Kama huna ishu za kuandika usipende kupotosha umma. Mbona mi nipo hapa Igunga na sijaona ujio wa CUF wala fununu za kuwapo hapo.... Ujue JF tupo hata huko..koma kwa uongo wako....mdanganye mkeo, na wanao
 
CUF mmeingizwa mkenge sana na CCM kupitia tz visiwani,ni rahisi sana CHADEMA ku capitalize katika hlo na kuwabwaga,tazama yule mbunge wa CUF bungeni siku ile aliposema wao wanajitenga na utovu wa nidhamu wa lema,pale alibomoa sana,kwa style hyo hyo mtakuwa na kazi sana ya kupambana na CHADEMA mbele ya watz...
 
Join Date : 14th July 2011Chadema msipoteze muda wenu igunga hamna nafasi ya kushinda,afadhali hela hiyo ya kampeni mpeleke kuendeleza matawi yenu mkoa wa kilimanjaro
Join Date : 11th March 2011Kwani chadema na cuf nani walikuwa wapili kwenye nafasi ya ubunge?nafikiria bora chadema wangepumzika maana hawapati kitu huko
Join Date : 2nd August 2011hawa cuf mimi nawaaminia siasa zao nzuri, kichama nasikia wana uongozi kila kata ktk jimbo la igunga hawa ni waumini wa kujenga mtandao wa chama tofauti na cdm.
Wapenzi wa CUF, acheni kudanganya watu kwani mwaka jana Chadema hawakuweka mgombea Ubunge katika Wilaya ya Igunga. Waliogombea Ubunge Igunga walikuwa wawili tu - ROSTAM AZIZI ABDULRASOOL wa CCM aliyepata kura 35,674 na LEOPOLD LUCAS MAHONA wa CUF aliyepata kura 11,321.

Na katika kinyang'anyiro cha Uraisi Wilayani Igunga, pamoja na uchakachuaji uliofanyika Kikwete wa CCM alishinda kwa kura 34,090 akifuatiwa na Dr. Slaa wa Chadema kura 8,874 na Prof. Lipumba akawa wa tatu kwa kura 3,181.

Hata hivyo Chadema waliweka wagombea Udiwani kwenye kata mbali mbali Wilayani Igunga na waliweza kushinda maeneo fulani tofauti na CUF iliyoambulia sifuri. Hiyo nguvu ya CUF Igunga inatoka wapi ?
 
Naona CCM B wamekutuma kuja kupima upepo hapa JF ili kukatisha tamaa wapiganaji na hatimaye jimbo lirudi mikonono mwa CCM.Mbona hujiulizi kama CUF ni maarufu Igunga mbona haina hata diwani ilihali walikuwa na mgombea ubunge mwaka jana? Chadema haikuwa na mgombea ubunge lakini ilivuna madiwani.A smallest calculation.


Heee! hii nilikua siijui! kumbe CHADEMA waliamua kumuachia jimbo ROSTAM AZIZ Ili ashinde bila upinzani?!!!hivi huyu ROSTAM ana mfuko mpana kiasi gani lakini....yani mpaka chama "makini" kama CHADEMA kinampisha huyu *****,kweli sasa naanza kuamini NGONYANI LOWASSA atakua RAIS wa inji hii.
 
Wapenzi wa CUF, acheni kudanganya watu kwani mwaka jana Chadema hawakuweka mgombea Ubunge katika Wilaya ya Igunga. Waliogombea Ubunge Igunga walikuwa wawili tu - ROSTAM AZIZI ABDULRASOOL wa CCM aliyepata kura 35,674 na LEOPOLD LUCAS MAHONA wa CUF aliyepata kura 11,321.

Na katika kinyang'anyiro cha Uraisi Wilayani Igunga, pamoja na uchakachuaji uliofanyika Kikwete wa CCM alishinda kwa kura 34,090 akifuatiwa na Dr. Slaa wa Chadema kura 8,874 na Prof. Lipumba akawa wa tatu kwa kura 3,181.

Hata hivyo Chadema waliweka wagombea Udiwani kwenye kata mbali mbali Wilayani Igunga na waliweza kushinda maeneo fulani tofauti na CUF iliyoambulia sifuri. Hiyo nguvu ya CUF Igunga inatoka wapi ?
GOOD RESEARCH.thanks
 
Nilikuwa igunga kwa shughuli za kibiashara,
Natabiri CUF watashinda pale, kila nilikopita mjadala mkubwa ni yule kijana MAONA wa CUF aliyepambana na RA,

Pia nimeona magari kadhaa ya CDM yasiyopungua 4 huku CUF wakiwa na gari moja na pkpk zisizopungua 10 hivi.

CCM bado wako mafichoni lakini in general view, vyama vya CCM na CDM watapata kazi kubwa kupambana na yule MAONA wa CUF.
 
wanajiandaa kuzirudisha siku kampeni zikianza
zhu.jpg
gongsi.jpg
ht.jpg
 
Back
Top Bottom