Muungano: Siku za maisha yake zinaelekea ukingoni?

Hawa Watu sio wa kuwang`ang`ania...tuvunje halafu kila mtu arudi kwao.......wabaguzi sana hawa....wapemba wote go home pemba....wamewekeza sana hawa huku kwetu kuliko sisii.....
 
Wazazimbari wana akili wameona kuzidi kuwa na muungano usio na maendeleo hakuna haja yoyote. Yes ufisadi umekuwa kama dini na sisi wa bara ndiyo waasisi na waumini wakuu wa dini hii.Bora wajiondoe tu ili wasonge mbele watuache sisi na sera zetu za kulindana lindana. Tuvune tulichopanda.
Wazanzibari wepi walio na akili? Akina Seif na CUF yake wanatafuna tu kuku Ikulu baada ya kuona kuwa hakuna maana kugombania fito kwa ujenzi wa nyumba ileile! Wapemba wamejaa huku Bara wakiendelea kupiga business kama kawaida maana "kanchi" kale hakajai hata kwenye mkono, wenzetu kwenye uzazi wa mpango huona "nyota nyekundu" badala ya "kijani!" Kwenye Idara na Wizara zisizo za Muungano hawa jamaa zetu wamejaa, wanakula kuku kwa mrija tu huku! Huku kukataa mti huku ukila matunda yake ni unafiki wa hali ya juu!
 
Kuhusu muungano, ni kama tunawalazimisha kuungana nao, nadhani kuja haja ya kuangalia upya kuwepo na serikali tatu au uvunjike tu, mie sion tunachofaidika kutoka kwao, wao ndiyo wananufaika sana na rasilimali zetu.
 
Muungano wa sasa wakuwa na serikali ya Muungano na ya mapinduzi zanzibar hauna tija.kama tunapenda kuwa na muungano tuwe na serikali moja
Elezea kuwa na "tija" maana yake ni nini? Wapinzani wengi wa Muungano huwa hamna hoja za kueleweka, mnakimbilia kudai Muungano uvunjwe bila kutaja sababu na pia kuelezea madhara ya uvunjaji wa Muungano!
 
Kuhusu muungano, ni kama tunawalazimisha kuungana nao, nadhani kuja haja ya kuangalia upya kuwepo na serikali tatu au uvunjike tu, mie sion tunachofaidika kutoka kwao, wao ndiyo wananufaika sana na rasilimali zetu.
Hakuna Mzanzibari aliyelazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano! Wewe ulitaka uletewe sinia la wali mezani ndio uone "matunda ya Muungano?"
 
Mimi nashangazwa na viongozi wa tanganyika kung'ang'ania znz yetu.wabara wanaotaka muungano uvunje ni hawa wadogo ambao hawana kauli yoyote yenye athari kwa nchi.viongozi wanafaidika na muungano huu wa dhulma ndo maana wapo kimya.uvunjwe leo na wasingoje kesho halafu watupe miaka mitano tu waje waangalie tumefanya nini?sudan iliyokuwa nchi moja wametengana seuze sisi watu wa nchi tofauti,na mila na desturi tofauti! Tutauvunja mkitaka msitake na siku hiyo haipo mbali.
 
uvunjwe tu. Wakitandikana huko na kukimbilia kwetu tanganyika tutawafanya mahouse girls. Wapuz sana. Tunabembeleza nini? Mijitu haijui ardhi ndio kila kitu? Visiwa vyenyewe vinapungua eneo kila siku. Pumbaf
 
Watanganyika wanataka u-bwana kwa Wanzanzibar, wanasema muungano na uvunjike lakini Zanzibar mtaumia, Zanzibar mtatu miss. Ni kama mchumba anaetaka kukuacha unamwambia utani miss, utaumia, wewe ndio utam miss ndio maana unam bembeleza abaki.

Kama Zanzibar na Tanganyika wanataka kuvunja Muungano na uvunjike, hakuna haja ya kumuongelea mwingine kwamba ataumia, atakumiss.

Tanganyika hatutaki Muungano kwa sababu unatunyonya, tunabeba mzigo wa ka-wilaya kukapa hadhi ya nchi ndani ya nchi na kugawana rasilimali na nafasi za uongozi kama ubunge ambazo ni devastatingly costly to the mainland.
 
uvunjwe hiyo ndio infinite solution kwa sasa though kuna imapact nyingi lakini naona ni headache tu .tuvunje tuangalie wapi makosa tutarudi kama EAC ..
Impact zipi hizo? Binafsi sizioni hasa huku bara. Pengine kwa wenzetu. Uvunjwe tuuuuuuuuuuuuuu
 
Yani ukivunjika hata sa hzi ntafurahi,me cjui kwa nin siwapendi wazanzibar!
 
Ungevunjwa hata dakika hii,hivi kwanza unafaida gani,sanasana wenzetu wazenj wataumia sana,nawaonea huruma

Sasa hivi kuna ongezeko la joto duniani, barafu zinayeyuka toka milimani na maji ya bahari yanazidi kuongezeka, Wazanzibar wajiulize, hivi hivyo visiwa vikizama watakimbillia wapi endapo Muungano utakuwa umevunjika?
 
Sasa hivi kuna ongezeko la joto duniani, barafu zinayeyuka toka milimani na maji ya bahari yanazidi kuongezeka, Wazanzibar wajiulize, hivi hivyo visiwa vikizama watakimbillia wapi endapo Muungano utakuwa umevunjika?

itakayo zama sio zanzibar tu, hata tanganyika vile vile , au wewe unaishi juu ya mlima kilimanjaro?
 
Sasa hivi kuna ongezeko la joto duniani, barafu zinayeyuka toka milimani na maji ya bahari yanazidi kuongezeka, Wazanzibar wajiulize, hivi hivyo visiwa vikizama watakimbillia wapi endapo Muungano utakuwa umevunjika?
Hapo ndio watapata akili...
 
Elezea kuwa na "tija" maana yake ni nini? Wapinzani wengi wa Muungano huwa hamna hoja za kueleweka, mnakimbilia kudai Muungano uvunjwe bila kutaja sababu na pia kuelezea madhara ya uvunjaji wa Muungano!
Wewe umeshindwa nini kueleza!!Hakuna faida yoyote zaidi ya hao Magamba kutumia nafasi hiyo kuchakachua kura kpnd cha uchaguzi.We want our Mother Tanganyika back.
 
Ukivunjwa Polisi na Majeshi yetu wataacha kuua Raia wa Tanganyika coz hizi Wizara zinaongozwa na Wazanzibar ambao hawana Machungu na damu zawatanganyika.
HUSSEIN MWINYI-WIZARA YA ULINZI.
SHAMSI VUAI NAHODHA-WIZARA YA MAMBO YA NDANI.
 
Back
Top Bottom