Shibuda ajichimbia kaburi lake

mmh!

MKUU wewe unadhani kwa mbinu alizotaja Zitto wamabunge wote wa CHADEMA wanawezi kuzitumia? mfano kuchangia hoja mbungeni kama kielelezo kuwa alihudhuria kikao, kweli wanaweza ndani ya siku tatu wakachangia wote na wewe unanawajua Maspika wetu, hivyo lazima wangefukunzwa tu kama kanuni inavyoelekeza.pia nadhani hata yeye walimastahi kwa kuwa wamesoma upepo wa siasa wangetaka kumtimua wangefanya ghiliba kwa kuto mpa nafasi ya kuchangia ua vinginevuyo ili tu aonekana ana hatia then wangemtimua.m

Mi nawapongeza wabunge wachadema kwani walifanya cost benefit analysis kutohudhuria vikao wafukuzwe au wahudhurie waendelee kujadili mambo ya msingi kwaajili ya maendeleo ya taifa hasa katika wakati huu ulo mugumu, maana wangeweza kusababisha mgogoro mwingine bungeni hivyo kuathili utendaji wake.





The person who says it cannot be done should not interrupt the person doing it."
 
Shibuda ni gamba pandikizi ndani ya CDM ametumwa kuja kukiharibu chama,haiwezekani apingane na wenyeji wake ndani ya chama,halafu hilo neno la kujiita MWANSIASA MKONGWE SIKUBALIANI NALO YEYE NI MKONGWE WA CCM SIO CDM..... siasa za CDM ni tofauti kabisa na za CCM, kwa hiyo asilete siasa uchwara za CCM ndani ya CDM na akubali kwamba, bado mchanga ndani ya CDM na anahitaji msaada wa miongozo toka kwa viongozi wa CDM.
 
Huyu mtu anataka hela tu,amejisahau anafikili cdm kama magamba!walafi wa posho,cc ya cdm wamwangalie kwani anatia aibu wanaharakati.wakumtimua kama kanuni na maadili ya cdm yatakua yanaruhusu.bora kuwa na wabunge wachache kuliko kuwa na wabunge wengi ambao hawana mvuto cdm kama huyu shi.......buda.
 
mkuu zitto mwenyewe kathibitisha hilo na kuelezea mbinu anazotumia kukataa posho. Wengine wote wanapokea tena kwa moyo uliokunjuka na mikono miwili. Anayeweza kusema against posho ndani ya chadema ni zitto tu wengine wote kimya. Regia yupo humu pamoja na mbunge wangu ndugu mnyika mbona hawajatoa kauli kama hawachukui posho za vikao?
ile sio posho ni ujira wa mwiha
 
Mkuu niseme machache tu kuhusu shibuda:
  • Pamoja na baadhi ya matatizo yake lakini mimi namuona kuwa ana ukweli na uhalisia ndani yake. Kuhusu suala la kumsusia Rais nadhani kuna mahala CHADEMA walikosea ndio maana baada ya muda walijirekebisha na kutoa kauli kusafisha hali ya hewa. Hawakupata uungwaji mkono mkubwa na wananchi kwa kitendo kile walichofanya. Pia haikuwa busara kuisusia karamu ya Rais ambapo Shibuda alihudhuria na si dhambi kushikana mkono na Rais.
  • Kuhusu posho mimi nadhani shibuda yupo sahihi kunena anachokiamini kwamba posho hazitoshi kuliko kusema sema kwamba hatutaki posho huku wakizichukua. Hivi zaidi ya Zitto ni nani amesimama na kuzikataa posho?
Shibuda hayuko sahihi hata kidogo!!!!! CCM mnapotosha ukweli kila siku maana CHADEMA wanataka posho zote za vikao zifutwe serikalini, yawezekana hata hizo wanazopewa wabunge ni ndogo na wanazihitaji sana lakini uongozi ni kuonyesha mfano. Posho zisitolewe kwa wabunge kwanza au wabunge wenye hoja ya kukataa posho serikalini wazitae kwanza ndipo suala la kuzuia posho kwenye sekta nyingine serikalini liendelee.

CHADEMA wanaongoza kwa mifano na tukiwapitia nchi watatutoa tulipokwama. Mbowe amekataa shangingi la serikali ili serikali ijifunze kwake na kuona kuwa ni mzigo kuendelea kutumia magari hayo. ( Mbowe alikuwa tofauti na Mizengwe Pinda aliyekataa shangingi lakini akasema wampatie mtu mwingine!!)
 
Mh. Shibuda, hivi kweli wewe unasema mbele za watu na unajidai kwamba wana-Maswa ni wako!? Umesahau vijana tuliokusaidia kwa hali na mali maana ulikuwa huna uwezo wa kushinda. Kwanza Shibuda ulikuwa na doa la kumchezea mchezo mchafu JIDULA MABAMBASE ambaye alikufa mda si mrefu wakati wa kura za maoni za CCM.

Sisi vijana wa Maswa tunafahamu hata waganga wako (kamati ya ufundi), ulikuwa na waganga saba, ulienda siku moja kwa mganga wako wa Malampaka na alikutabiria mambo yako kuwa hayakuwa mazuri, vijana wa Kizungu, Dodoma, Kadoto, shishiyu,Mwabayanda wote kwa sasa tunakushangaa na tunakuona huna fadhila.

Wananchi wa Maswa tunataka mageuzi na mageuzi yataletwa na CHADEMA hakuna chama mbadala kwa sasa zaidi ya CDM. Kama unajidanganya unamtaji Maswa, sahau wananchi wameshakutoa maana.
 
Shibuda dawa yake inachemka, kitu atakachofanywa na cc hataweza kuamini maisha yake yote
 
Ukongwe kweli ni mkongwe ukilinganisha na wengine, anastahili pia kusikilizwa na kama alijinadi mwenyewe anastahilu to be proud of. Mawazo tofauti ndio yanayo imarisha chama kuliko kudumisha fikra za makao makuu.<br />
Kushinda kwake kumeongezo mapato na sauti kwa cham, msiume maneno mfukuzeni ruzuku inaenda chini
<br />
<br />
ukongwe si kitu. Unaweza ukawa mkongwe na ukawa wise na pia unaweza kuwa mkongwe na ukawa ziro. Usiyaweke pamoja haya.
 
Mkuu Zitto mwenyewe kathibitisha hilo na kuelezea mbinu anazotumia kukataa posho. Wengine wote wanapokea tena kwa moyo uliokunjuka na mikono miwili. Anayeweza kusema against posho ndani ya CHADEMA ni Zitto tu wengine wote kimya. Regia yupo humu pamoja na Mbunge wangu Ndugu Mnyika mbona hawajatoa kauli kama hawachukui posho za vikao?
Wataalamu wa vita wanashauri kwamba jeshi lako likidhibitiwa mstari wa mbele na adui yako ni busara kurudisha jeshi nyuma ili ujipange upya.
 
Mkuu Zitto mwenyewe kathibitisha hilo na kuelezea mbinu anazotumia kukataa posho. Wengine wote wanapokea tena kwa moyo uliokunjuka na mikono miwili. Anayeweza kusema against posho ndani ya CHADEMA ni Zitto tu wengine wote kimya. Regia yupo humu pamoja na Mbunge wangu Ndugu Mnyika mbona hawajatoa kauli kama hawachukui posho za vikao?
Tatizo sio posho anayochukua Mbunge mmoja mmoja ila ni jumla ya posho zote kwa wabunge wote. Suala hili naliona linahitaji kufuatiliwa kwa msingi wake na sio uamuzi wa mbunge mmoja mmoja.
 
Mkuu niseme machache tu kuhusu shibuda:
  • Pamoja na baadhi ya matatizo yake lakini mimi namuona kuwa ana ukweli na uhalisia ndani yake. Kuhusu suala la kumsusia Rais nadhani kuna mahala CHADEMA walikosea ndio maana baada ya muda walijirekebisha na kutoa kauli kusafisha hali ya hewa. Hawakupata uungwaji mkono mkubwa na wananchi kwa kitendo kile walichofanya. Pia haikuwa busara kuisusia karamu ya Rais ambapo Shibuda alihudhuria na si dhambi kushikana mkono na Rais.
  • Kuhusu posho mimi nadhani shibuda yupo sahihi kunena anachokiamini kwamba posho hazitoshi kuliko kusema sema kwamba hatutaki posho huku wakizichukua. Hivi zaidi ya Zitto ni nani amesimama na kuzikataa posho?

Mkuu kwa hoja zako hizi, basi safari ya ukombozi bado mbichi kbs
 
Hayo ndo matatizo ya chadema kudaka watu tu njiani na kuwaingiza kwenye chama chao. Laiti wangemchunguza shibuda wasingempitisha kugombea ubunge.juzi marando alikuwa anajikanyaga tu alipoulizwa hatma ya shibuda.
 
Mwenzenu siku nilposikia kwamba Shibuda amepokelewa CHADEMA, kwa dhati nilitupo kadi ya CHADEMA na sitakuwa mwana CDM hadi shibuda atakavyo toka kwene Chadema na kurudi kwingineko.
 
Hivi Shibuda bado yuko CDM? Mimi nilifikiri alishahamia kwenye Chama Cha Magamba! Nafikiri huko ndiko kunakomfaa zaidi.
nakuunga mkono, na pia nashauri awekewe limitations huku ndani ya cdm ili asiendelee kuwa mwiba! nawashauri viongozi wa juu wa cdm waunde mfumo wa kuwaadhibu watu kama hawa! ili na wengine wajifunze, na pia magamba wajue kuwa mapandikizi yao hayafanyi kazi ndani ya cdm.
 
Mh. Shibuda, hivi kweli wewe unasema mbele za watu na unajidai kwamba wana-Maswa ni wako!? Umesahau vijana tuliokusaidia kwa hali na mali maana ulikuwa huna uwezo wa kushinda. Kwanza Shibuda ulikuwa na doa la kumchezea mchezo mchafu JIDULA MABAMBASE ambaye alikufa mda si mrefu wakati wa kura za maoni za CCM.

Sisi vijana wa Maswa tunafahamu hata waganga wako (kamati ya ufundi), ulikuwa na waganga saba, ulienda siku moja kwa mganga wako wa Malampaka na alikutabiria mambo yako kuwa hayakuwa mazuri, vijana wa Kizungu, Dodoma, Kadoto, shishiyu,Mwabayanda wote kwa sasa tunakushangaa na tunakuona huna fadhila.

Wananchi wa Maswa tunataka mageuzi na mageuzi yataletwa na CHADEMA hakuna chama mbadala kwa sasa zaidi ya CDM. Kama unajidanganya unamtaji Maswa, sahau wananchi wameshakutoa maana.
Inaonesha ulitaraji fadhila wewe...fanya kazi acha kutegemea viongozi wa kisiasa.
 
Shibuda hayuko sahihi hata kidogo!!!!! CCM mnapotosha ukweli kila siku maana CHADEMA wanataka posho zote za vikao zifutwe serikalini, yawezekana hata hizo wanazopewa wabunge ni ndogo na wanazihitaji sana lakini uongozi ni kuonyesha mfano. Posho zisitolewe kwa wabunge kwanza au wabunge wenye hoja ya kukataa posho serikalini wazitae kwanza ndipo suala la kuzuia posho kwenye sekta nyingine serikalini liendelee.

CHADEMA wanaongoza kwa mifano na tukiwapitia nchi watatutoa tulipokwama. Mbowe amekataa shangingi la serikali ili serikali ijifunze kwake na kuona kuwa ni mzigo kuendelea kutumia magari hayo. ( Mbowe alikuwa tofauti na Mizengwe Pinda aliyekataa shangingi lakini akasema wampatie mtu mwingine!!)

Kwa hiyo la KUB limeuzwa na pesa kwenda mahospitalini? Si tumeambiwa hapa kwamba Kaimu Katibu Mkuu wa Bunge alikuwa akitanua nalo!!
 
Tatizo sio posho anayochukua Mbunge mmoja mmoja ila ni jumla ya posho zote kwa wabunge wote. Suala hili naliona linahitaji kufuatiliwa kwa msingi wake na sio uamuzi wa mbunge mmoja mmoja.

Wamekubaliana na kuliweka kwenye ilani lakini hawaonyeshi kwa vitendo. Mwenzao Zitto kwa kuwa yuko serious na anayoyasema akaamua kuishi kwa anayoyasema na kuyaamini lakini WANAFIKI wakashindwa kuishi kwa wanayoyasema.
 
Back
Top Bottom