Recent content by alben

  1. A

    Serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 19 kukarabati shule kongwe 17 nchini zikiwemo Ilboru na Kilakala

    Usikariri mkuu, Ukarabati hapo sio rangi tu ni vitu vingi vikiwemo kubadilisha mabati yote, mfumo wa maji taka na maji safi , vifaa vipya vya maabara, ICT, umeme, fire na majiko n.k
  2. A

    Serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 19 kukarabati shule kongwe 17 nchini zikiwemo Ilboru na Kilakala

    Hiyo gharama ni ya shule zote ambazo tayari zishafanyiwa ukarabati.
  3. A

    Suala la kudisco vyuoni Tanzania

    Huyo labda alishikwa na kikaratasi, hakukwambia ukweli kwenye vyuo vingi tz huwezi kudisco kwa somo moja utaishia kucarry tu ila ku abscond kunatokea kama hukufanya mtihani bila sababu ya msingi.
  4. A

    Mchepuko wangu leo umeniibia laki sita yangu ya mshahara

    Duu!! Mbona kama ya kutunga hivi.
  5. A

    Mei Mosi hii inaweza kuwa ni kilio kingine kwa wafanyakazi

    Huo ndio ukweli wenyewe.
  6. A

    Trilioni 1.5 zinawezekana zilitumika hivi

    Umeambiwa hizo fedha hazijulikani zilipo ingekuwa zimetumika seheme cag angesema kama ni matumizi nje ya badget.
  7. A

    Mrejesho:Staki kuendelea nae ila ananiganda

    Duuu!! Hapo brother ungejitahidi umuache polepole, hiyo laana huwa inalipizaga kama sababu iliyokufanya umuache uliiona kabla ya kudo naye.
  8. A

    Mdada aliye single namhitaji

    Bado sifa moja ambayo wanaipenda sisterz, mambo ya uchumi. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. A

    Ulifikiria nini kujibatiza username unayoitumia JamiiForums

    Ni kifupi cha majina halisi. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. A

    CRDB: The most Inefficient Bank of all times

    Labda kwenu huko, huko mbeya wanajitahidi sana, wanautaratibu wa foleni mzuri. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  11. A

    Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

    Acha kuteseka bure kasome diploma halafu degree huko unaweza poteza two years bure kabisa. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  12. A

    Gwajima apiga mkwara, kinanuka kesho

    Duu!! Naombea ibada ingekua live ITV.
  13. A

    Aliyetupa Macho asiweze kuona?

    Hilo la wabunge kuwa wengi naanza kupata wasiwasi huenda ubabe ukawapunguza wabunge wa upinzani wakawa wachache.
Back
Top Bottom