Mrejesho:Staki kuendelea nae ila ananiganda

Mrejesho:Staki kuendelea nae ila ananiganda

Daaahhhh aiseeee au ndo WEWE ???

wiki kadhaa nyuma kuna Mdada yupo Loliondo ,, alinpigia simu nmeshamsahau maana nisiku nyingi ,,, kupokea anasema ** Samahan ,Ivi kuna tatizo gani LA kiafya ,ikiwa nina mimba LKN nataka kukutana kimwili na mwanamme asiyebaba Wa mimba hiyo?*..

Nilipumuaaaa ,,akaendelea hellow.. Hellow. .. Nijibu pulizi.

Nikamwambia * Wala hamna tatizo so long as wote mpo salama LAKINI nikamuuliza ,,Huyo mwanamme aliyekubali uwe mpenzi wake wakat anajua unamimba ,,Nikweli umeamin Anakupenda ????

Akasema oohhhhhh the buuuhh yuko poà mambo safiii oohhh ananipenda yaaan anajali mpaka mimba ooohhh nimeamua tu Nimtunuku sababu Alonipa Mimba kanikimbia!!.

Nikamwambia Basi sawa,,, ** Hamna tatizo LA kiafya so long nyote mpo salama*.


MKUUU ,UMENIKUMBUSHA SANA HUYU DADA ,KAMA NIYEYE BASI NAMPA POLE.
 
Duuu!! Hapo brother ungejitahidi umuache polepole, hiyo laana huwa inalipizaga kama sababu iliyokufanya umuache uliiona kabla ya kudo naye.
 
iyo laana haikuachi labda uwe padri otherwise itakucost laana za hawa watu ni zaidi ya abdadili
 
Aise mtafute nakupa ushaur wa bure...it will never be well with you aise..mnajitafutia laana bure, ulikua unamtest mdada wa watu yeye amekua gari. ?
Unajua niaje mkuu?Dem mwanzoni alinambia kuwa Jamaa yake haeleweki yan ni kaa kakataa mimba,nilivyojua hivyo nikaona sio mbaya coz dogo ana kazi yake, kwahiyo niakuwa Mimi nayy,kumbe sivyo Jamaa anahudumia ila sio romantic
 
Ukitaka kuwa na mwanamke, hakikisha siku utakapoamua kumuacha atakuimbia wimbo wa Whitney Houston "I Will Always Love You".

Sio hawa vijiba roho sikumkiachana wanasema maneno ya nuksi.

Huyo hakawii hata kukutafutia watu wakufanyie ubaya.

Yanini yote hayo?
 
Ila we nae kama ulikua huna malengo na mjamzito wa watu kwanini umuharibie kwa aliekuwa nae?
Mkuu huyu gal nilimpenda na sikujua kama atakauwa mjamzito coz aliniambia wakati Tatar alikuwa ameshanikubalia,ila nilikuwa bado cjamla.Pia stress za mahusiano niliyonayo nazo zilichangia
 
Sasa mkuu tukupe ushauri gani? Maana hutaki kuwa nae na lengo lako limetimia la kula nyapu na kusepa. Muache atampata wa kuendana nae usiutese moyo wako kwa kuishi na mtu ambaye humpendi full stop!
 
Daaahhhh aiseeee au ndo WEWE ???

wiki kadhaa nyuma kuna Mdada yupo Loliondo ,, alinpigia simu nmeshamsahau maana nisiku nyingi ,,, kupokea anasema ** Samahan ,Ivi kuna tatizo gani LA kiafya ,ikiwa nina mimba LKN nataka kukutana kimwili na mwanamme asiyebaba Wa mimba hiyo?*..

Nilipumuaaaa ,,akaendelea hellow.. Hellow. .. Nijibu pulizi.

Nikamwambia * Wala hamna tatizo so long as wote mpo salama LAKINI nikamuuliza ,,Huyo mwanamme aliyekubali uwe mpenzi wake wakat anajua unamimba ,,Nikweli umeamin Anakupenda ????

Akasema oohhhhhh the buuuhh yuko poà mambo safiii oohhh ananipenda yaaan anajali mpaka mimba ooohhh nimeamua tu Nimtunuku sababu Alonipa Mimba kanikimbia!!.

Nikamwambia Basi sawa,,, ** Hamna tatizo LA kiafya so long nyote mpo salama*.


MKUUU ,UMENIKUMBUSHA SANA HUYU DADA ,KAMA NIYEYE BASI NAMPA POLE.
Hapana sio yeye mkuu
 
Duuu!! Hapo brother ungejitahidi umuache polepole, hiyo laana huwa inalipizaga kama sababu iliyokufanya umuache uliiona kabla ya kudo naye.
Kweli mkuu ila nilimpenda kimalengo mpaka nilimwambia nataka anizalie mtt akakubali kumbe tayaaariii
 
Sasa mkuu tukupe ushauri gani? Maana hutaki kuwa nae na lengo lako limetimia la kula nyapu na kusepa. Muache atampata wa kuendana nae usiutese moyo wako kwa kuishi na mtu ambaye humpendi full stop!
Poa mkuu
 
Hapana sio yeye mkuu
Sawa mkuuu !!!...kwan huyu mwanamke ulimtongoza ukijua anamimba au ulimtongoza LKN hukujua ana mimba !!!???.

Kama ulijua anamimba LKN ukamtongoza ,,nabado akakuambia anamimba ila hukutaka kukosa utamu ,,sure nilazima aumie sana na atoe laana !!...coz anajihisi tu km chombo cha starehe na akianza kulinganisha alompa mimba naww ambaye alikuona km MTU wakumpa raha Basi anachanganyikiwa !!!.


Anyway Noway out !!! Mwache aumie ajipange namaisha .... Coz hata tukikushauri urudiane naye HUWEZI KUFANYA IVO....so naomba tu Umuache atahuzunika for a while LKN maisha lazima yaendeleee!!.
 
Mkuu sijaona kukuganda popote katika andishi lake.
Nilichoona hapo ni vitisho vya kisaikolojia.
Kazia msimamo wako kwa kuwa hakuna lawama ya kimsingi pale. Hujakimbia mke, haujakimbia mchumba, haujakimbia mimba.
Mambo yoyote halali ukiyaendea kinyume, kweli waweza kupata laana, lakini si kwa issue kama hiyo.
Tena nikuambie kitu kwa sisi wazoefu, ukirudi hapo kichwakichwa, aweza kuwa anakung'ong'a wakati ukimgegedua. Sanifu babkubwa juu ya kuwajibikia mambo yasiyokuhusu.
Tafuta pori ufyeke kuanzisha shamba lako fresh baba. Haya mengine yaliyokwisha kulimwa, mazao yake ni ya wenyewe, wewe hayakuhusu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom