Trilioni 1.5 zinawezekana zilitumika hivi

Ongezea na zile alizopewa Wastara na zile za juzi kule Mirerani
 
Mjadala wa sintofahamu ya sh trilion 1.5 kwenye uongozi wa awamu ya tano chini ya Rais JP Magufuli umezua taharuki kubwa sana kwa WATANZANIA.

Ningependa kutazama hii ishu kwa jicho lingine . Bila shaka wote tunajua kuwa katika awamu hii kuna miradi mingi sana mikubwa inayogharimu TAIFA letu pesa nyingi sana bajeti yake haipitishi na bunge bali Rais Magufuli hutoa maamuzi kuwa itekelezwe, kwa Mfano uwanja wa ndege wa CHATO; huu ni mfano mmoja wapo.

Huenda katika hiyo trilion 1.5 kuna fungu la uwanja wa ndege wa Chato. Masuala ya fedha amwachie Waziri wa Fedha, lakini kwa Magufuli hilo suala hakuna. Atakwenda mahali na kusema fedha zipo aidha za misaada au zetu wenyewe na kuidhinisha matumizi.
 
Mjadala wa sintofahamu ya sh trilion 1.5 kwenye uongozi wa awamu ya tano chini ya Rais JP Magufuli umezua taharuki kubwa sana kwa WATANZANIA.

Ningependa kutazama hii ishu kwa jicho lingine . Bila shaka wote tunajua kuwa katika awamu hii kuna miradi mingi sana mikubwa inayogharimu TAIFA letu pesa nyingi sana bajeti yake haipitishi na bunge bali Rais Magufuli hutoa maamuzi kuwa itekelezwe, kwa Mfano uwanja wa ndege wa CHATO; huu ni mfano mmoja wapo.

Huenda katika hiyo trilion 1.5 kuna fungu la uwanja wa ndege wa Chato. Masuala ya fedha amwachie Waziri wa Fedha, lakini kwa Magufuli hilo suala hakuna. Atakwenda mahali na kusema fedha zipo aidha za misaada au zetu wenyewe na kuidhinisha matumizi.
Umeambiwa hizo fedha hazijulikani zilipo ingekuwa zimetumika seheme cag angesema kama ni matumizi nje ya badget.
 
Mkuu ongezea na rushwa ya milioni 10 kwa Wabunge wa MACCM ambayo tangu November 2016 Taasisi ya kulinda na Kutetea Rushwa Nchini inachunguza kwa miezi 18 sasa hakuna ripoti kuhusu rushwa ile na hata huyo aliyetoa rushwa hatii neno. Wewe utoe rushwa halafu wewe utake uchunguzi!!!

Takukuru yachunguza Sh10 milioni za wabunge CCM

Kununua ndege kwa cash na kulipa faini kule canada ilikoshikiliwa bombardier, bila kuidhinishwa na Bunge. Na tena bila kufuata utaratibu wa manunuzi. Kwa hiyo kuna cha juu.

Kujenga airport kijijini Chato nje ya bajeti na bila kufuata taratibu za ujenzi.

Kujenga ofisi ya TRA ghorofa moja kijijini.

Kununua wabunge na madiwani wa Upinzani.

Kusafiri safiri huku na kule na limsafara likubwa, kwenda kufungua viwanda vilivyokuwepo tangu enzi za mwalimu, kwa lengo la kutudanganya wananchi.

Zilizobaki wamegawana Sizonje, Bashite na yule PS wa Wizara ya Fedha. Tena wamegawana cash kabisa coz wao ni watu wa cash tu.
 
Kununua ndege kwa cash na kulipa faini kule canada ilikoshikiliwa bombardier, bila kuidhinishwa na Bunge. Na tena bila kufuata utaratibu wa manunuzi. Kwa hiyo kuna cha juu.

Kujenga airport kijijini Chato nje ya bajeti na bila kufuata taratibu za ujenzi.

Kujenga ofisi ya TRA ghorofa moja kijijini.

Kununua wabunge na madiwani wa Upinzani.

Kusafiri safiri huku na kule na limsafara likubwa, kwenda kufungua viwanda vilivyokuwepo tangu enzi za mwalimu, kwa lengo la kutudanganya wananchi.

Zilizobaki wamegawana Sizonje, Bashite na yule PS wa Wizara ya Fedha. Tena wamegawana cash kabisa coz wao ni watu wa cash tu.
 
Sasa hivi mmekuja na drama za mafuta ya kupikia. Hatujasahau trilioni 1.5 zetu.
 
Kuna mtu alisema sijui jamaa amekosea wapi.....mbona alianza vizuri tu.

Ila leo hii wananchi wengi wamepoteza matumaini kabisa na awamu hii na sasa haya mambo ya 1.5 trln ndio kabisa yameifanya hii awamu kuwa na skendo kubwa kuliko awamu zote zilizopita combined
Mimi alipochaguliwa akavaa combat as jeshi nilimtoa maana watu hawakuliona Hilo kavunja lilikuwa linaeleza mambo mengi yajayo
Naona wenyebusara walimshauri aache
 
Hii ya hizi trilion 1.5 kupotea ni kweli au kiki za kisiasa? Siamini kiasi kikibwa cha pesa kama hiki kutokua accounted for.
 
Back
Top Bottom