Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

Mimi nmemaliza hapo mwaka 2013. Nakumbuka mengi kwasababu ya good memories nyingi sana nilizotengeneza hapo..! Nakumbuka vitu vingi pia kwa vile nnauwezo mkubwa wa kutunza kumbukumbu. Bi mkubwa huwa anashangaa sana hasa nnapomkumbusha vitu vya zamani kipindi nnamiaka mitano..!

Turudi kwenye issue msingi..! Dogo wa pcb kwanza ni lazima awe na BS (Biological Science) yenyewe ni nyekundu..! Kama akiweza kumeza BS vizur pekee basi anaweza pata B ya necta! Kama familia inajiweza unaweza kuongezea UNDERSTANDING BIOLOGY hii haija jaa sana ila ninarecomend apatiwe CHANDY YA BIOLOGY! Hapo biology tunasema at least anaweza kucompete na syllabus ya baraza! Pia usisahau kupitia posta or mlimani city kwenye vitabu vya ANATOMY AND PHYSIOLOGY (kama unataka dogo awe BEN CARSON [emoji12] )

Kwa chemistry unaweza kumpatia CHANDY ya chemistry... Unaweza kumnunulia ile ya form five.. Then akirud likizo unamalizia iliyobakia (ya form six) kama unataka awe nondo kwenye inorganic na organic kuna vile vitabu vya baraza (actually hivi ni must have books) vinakuaga two volumes each! Kama unataka aelewe zaidi muongezee na RAYMOND CHANG! (a very good book on inorganic and general chemistry)

Physics lazma kwanza awe na CHANDY zote mbili! Kama mpunga anao unamuongezea na ROGER MUNCASTER kwaajili ya ELECTRICITY & ELECTRONICS, bila ya kusahau NELKON &PARKER (swali tata za necta huwa wanazichomoa huku)! kama unataka dogo awatishe wenzie mtafutie na UP (UNIVERSITY PHYSICS)

HAPO JUU NMEWEKA VITABU VYOTE HIVYO KAMA HOME MPUNGA UPO. ILA KAMA NI MAJALALA BASI FANYA HIVI!

ATAFUTE VITINI VYA SUREBOY MANDIA PAMOJA NA MBUGA (FOR BIOLOGY) ! HIVI VIKO PALE MCHIKICHINI! PIA APATE VITINI VYA SIR UNGA VYA PHYSICAL CHEMISTRY BILA YA KUSAHAU NOTES ZA PHYSICS ZA... Ayaaa nmesahau! Nani yulee daaah! Sio muddy physics.! Wala sio mtata de mtatuzi.! Daaah jamaa nmemsahau..! Labda kwa vile sijawahi kusoma kwake..![emoji18] [emoji18] [emoji18]

BIOLOGY:
-BS (35000-40000) na
-ANATOMY & PHYSIOLOGY (hivi huwa wanauza jamaa wa pale posta kwenye vitabu vya mtumba vya kizungu bei huwa mpaka 35,000)
Mpende mdogo wako mpatie na GIFTED HANDS apate mzuka wa shule!

CHEMISTRY
CHANDY ZOTE MBILI AND VITABU VYA ORGANIC NA INORGANIC CHEMSTRY VYA BARAZA (VOL I &II)

PHYSICS
APATE CHANDY ZOTE MBILI NA NELKON & PARKER!
VINGINE ATAPATA KWA WENZIE...

PIA MWAMBIE AWE ANAINGIAGA PALE COMPUTER LAB. PALE KUNA ENCYCLOPEDIA BRITANNICA AMBAYO HUWA NA MAMBO MAZURI SANA YANAYOWEZA KUMSAIDIA...! (nilifumaga ORNITHINE CYCLE LA KIBABE PALE)!

Kuhusu Library ya mtwara tech nisikufiche mkuu pale hakuna vitabu vya advance.. Mi nilikuwa naenda kuazima vitabu vya Novel za watoto pamoja na VITABU VYA UJAMAA NA KUJITEGEMEA (shule ya ccm ile [emoji2] [emoji2] [emoji2] ) PAMOJA NA HISTORIA ZA MAKOMREDI WA RED ARMY WALIOFANYA HEROIC DEEDS DURING THE WAR! (very socialistic of mwal. Nyerere[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] )

VITABU VYOTE HIVYO INABIDI AVIPITIE INSIDE OUT! NYUMA MBELE! Hapo atakuwa na chance ya kufika anapopataka!

Ubavu!
Kwa pcm yangu. Physics nilisoma NELCON na UP pamoja na tuition. Chemistry nilikomaa na notice za mwalimu na practical. Hesabu ni tuition mwanzo mwisho. Matokeo uakawa BAC. Form five physics ilichukua 60% ya muda chemistry 10%. Form six physics 30% chemistry 30% na namba nikazipa 40%. Kwangu mimi physics ilikuwa ngumu sana nikaamua kuipa muda mwingi.
 
Kwa pcm yangu. Physics nilisoma NELCON na UP pamoja na tuition. Chemistry nilikomaa na notice za mwalimu na practical. Hesabu ni tuition mwanzo mwisho. Matokeo uakawa BAC. Form five physics ilichukua 60% ya muda chemistry 10%. Form six physics 30% chemistry 30% na namba nikazipa 40%. Kwangu mimi physics ilikuwa ngumu sana nikaamua kuipa muda mwingi.
Ulikuwa govt or private?
 
Hapo ndio utawaelewa ambao hutokea Form 4 na kujiunga direct chuoni for Diploma...PCB si comb ya kitoto so kama uliingia kwa kuunga unga ni hatari...usipoteze muda hapo...kama unapenda kusoma health related issues basi hujachelewa.....jiunge mwaka huu wa masomo utimize ndoto zako otherwise utaja juta tu mwishoni mwa Form 6.Wapo wengi wanaougulia kimyakimya...nakupongeza wewe kwa kuliona hilo na kuomba ushauri...Haya ni maoni yangu binafsi,yanaweza kukusaidia au either way...Pole sana dogo
Kuna mdogo wangu kachujwa kuingia fomu Six pandahili pcm ila kakazania anaiweza.. Kaenda meta kafeli interview.. Uwata kafeli ila kakomaa katafuta shule huko songea tumeamua kumuacha avune anachopanda... Bora huyu kajikubali mapema sana ni kheri aende chuo hizo comb sio mchezo

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mkuu...
Mimi ni mmoja wahanga wa PCB... Kiukweli hiyo comb kama inakushinda achana nayo maana huko form six ndo usiseme... Namshukur Mungu Kwa kumaliza salama na kupasua vizur....
Ni swala la mda tuu...
Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]
Pole sana mkuu...
Mimi ni mmoja wahanga wa PCB... Kiukweli hiyo comb kama inakushinda achana nayo maana huko form six ndo usiseme... Namshukur Mungu Kwa kumaliza salama na kupasua vizur....
Ni swala la mda tuu...
Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]
Pole sana mkuu...
Mimi ni mmoja wahanga wa PCB... Kiukweli hiyo comb kama inakushinda achana nayo maana huko form six ndo usiseme... Namshukur Mungu Kwa kumaliza salama na kupasua vizur....
Ni swala la mda tuu...
Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]
 
Pole sana mkuu...
Mimi ni mmoja wahanga wa PCB... Kiukweli hiyo comb kama inakushinda achana nayo maana huko form six ndo usiseme... Namshukur Mungu Kwa kumaliza salama na kupasua vizur....
Ni swala la mda tuu...
Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]
Pole sana mkuu...
Mimi ni mmoja wahanga wa PCB... Kiukweli hiyo comb kama inakushinda achana nayo maana huko form six ndo usiseme... Namshukur Mungu Kwa kumaliza salama na kupasua vizur....
Ni swala la mda tuu...
Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]
Pole sana mkuu...
Mimi ni mmoja wahanga wa PCB... Kiukweli hiyo comb kama inakushinda achana nayo maana huko form six ndo usiseme... Namshukur Mungu Kwa kumaliza salama na kupasua vizur....
Ni swala la mda tuu...
Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]
 
Siku zote maisha angalia kwenye wepesi ,pakapo leta mafanikio yako , usikamie comb kuonekana ww mmoja ya watu wanaosoma science ..but komaa umalizie mwk ya mungu mengi
 
Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]

Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]

Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]
Hahahahahahaha... Sio kitoto mkuu

Sent from my TECNO_P5_PLUS using JamiiForums mobile app
 
We achana na advance kapige diploma ya afya kama vile clinical officer
Ukibaki advance ilhali unaona hali yako ni tete utapoteza mda tu
 
Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]

Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]

Kweli umepasua vizuri,naona hata physiology hauko vibaya hadi SA nodes za kwenye cardiac muscle unazijua[emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hujawa serious tu, fanya hv hyo smartphone unayotumia kuandka thread jf kaa nayo mbali

kisha tulia usome ,hamnaga shortcut daima..
 
Kuna mdogo wangu kachujwa kuingia fomu Six pandahili pcm ila kakazania anaiweza.. Kaenda meta kafeli interview.. Uwata kafeli ila kakomaa katafuta shule huko songea tumeamua kumuacha avune anachopanda... Bora huyu kajikubali mapema sana ni kheri aende chuo hizo comb sio mchezo

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Mwambie uyo dogo kama vipi mumtaftie nafasi hata must apige engineering diploma anaweza kuwa anauwezo ndio Ila hajaijua njia yake halisi ni ipi hasa asipoteze mda
 
Mkuu etii naomba kujua kwa mtu anaepata division 4 form VI anaweza pata kozi yoyote chuo chochote
Atakuwa na cheti Ila hakitafanya kazi yoyote na hakuna chuo kitachompokea labda diploma ambayo nayenyewe cheti kitachohusika ni cha 4 cha six kinaongeza tu kama sifa ya ziada
 
Since nimeingia advance sijawahi kupata zaidi ya 50marks kwenye chem&phys zaid napataga kwa bios isitoshe mtihani wangu wa annul form five nimepata zero ffs respectively kwa pcb sasa nimekata tamaa kabisa nakuona hakuna ninachofanya zaidi ys kwenda kuzungusha form six 2018..hivyo rasmi nahitaji kuongea ba wazazi nitafute alternative ways ya kwenda collage nikachuke course nyingine

N.B sio kwamba sisomi nasoma tena sana ila sielewi kwanini inakuwa hivi
-pia o level nilifaulu vizuri tu kwa CCA in PCB
Advance ndo ilivo kaka kukata tamaa ni mwiko komaa2 ila ukizidiwa nenda chuo2 mana PCB na PCM ndo zina ongoza kutoa zero

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Izzo unazopata ni kubwa mno kwa advance wewe komaa tu bado upo vzr

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Acha kuteseka bure kasome diploma halafu degree huko unaweza poteza two years bure kabisa.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom