Wadau, naomben maoni yenu kuhusu hiki kitabu kihusianacho na mapambano dhidi ya madawa ya kulevya.je, kitumike kama dira ya kampeni ya kupambana na madawa ya kulevya kwa taifa letu ambalo linazidi kupoteza sifa yake kutokana na kukithiri kwa biashara hii???
Wakuu nawasilisha!
Kwa Dunia ya leo usitegemee ushinde vita kwa uzoefu na ukubwa wa jeshi lako
dhana ya vita ni pana saana kwani nguvu ya nchi kivit ni siri ya nchi husika,
kwa nchi ambayo bado tunasuasua kiuchumi ni vema tukaiepuka,tusije tukaingia miezi 36 ya
kufunga mkanda zaidi a ile 18 ya vita ya kagera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.