inamaana huyu kagame anavyosema atampiga kikwete nii kwamba atapanda ndege aje jk aiport achukue gari aende ikulu avuje geti za ikulu na kupiga walinzi vibao then aulizie kikwete yuko chumba gani alafu aende kwenye mlango wa hicho chumba na kuwita kikwete " njoo nimekuja kukukomesha" then kikwete awe anaogopa kufungua mlango alafu kagame auvunje aingea kwa teke alafu aendeleze kibano.
Jamani ndio hivyo kweli maana kagame anaposema i will hit him at right time mimi nashindwa kuelewa, najaribu ku imagine sipati picha halisi.
Jamani ndio hivyo kweli maana kagame anaposema i will hit him at right time mimi nashindwa kuelewa, najaribu ku imagine sipati picha halisi.