Wadau, naomben maoni yenu kuhusu hiki kitabu kihusianacho na mapambano dhidi ya madawa ya kulevya.je, kitumike kama dira ya kampeni ya kupambana na madawa ya kulevya kwa taifa letu ambalo linazidi kupoteza sifa yake kutokana na kukithiri kwa biashara hii???
Wakuu nawasilisha!
Wakuu nawasilisha!