M23 vs FARDC (DRC CONGO) Mapigano yaanza upya

M23 vs FARDC (DRC CONGO) Mapigano yaanza upya

Marekani imepoteza askari elfu ngapi Iraq na Afghanistani?

Unadhani wao ni wajinga?

Wamarekani ndio chanzo cha haya yote yanayotokea hapa Duniani ebu tuangalie kwa makini maeneo yote waliyoingia na kujidai wanaenda kusaidia raia kutokana na ukandamizaji wa viongozi je amani katika maeneo hayo imerudi hata baada ya kuwaua viongozi walioonekana ni kikwazo cha Demokrasia? maeneo yenyewe ni IRAQ, AFGHANISTAN, LIBYA. Sehemu ambayo wananchi walijitambua wameshindwa kuinghia mfano halisi ni Somalia kwani waliingia na mwisho wa siku waliishia kuuawa na maiti za Wanajeshi wake kuburuzwa mitaani wakaamua kukimbia.
 
UN wanasaidia majeshi ya serkali.. Aim yao kwa pamoja ni kuwamaliza M23. Cha msingi ni kuhakikisha Congo pako safi ili biashara na mambo mengi ya kiuchumi yanaendelea, that country is resourcefull and as Sitta said.. watakuwa good partners kuliko the coalition of the willing..

Nakubaliana na wewe kabisa kwa hiki ulichokiandika, Tatizo ni kwenye utoaji wa taarifa kwa kifo hiki cha Lut. Rajabu wakuu wa jeshi wanatuambia kuwa ameuawa akiwalinda raia wasiuawe na M23 ninacho jiuliza hawa M23 wanapigana na Raia wa DRC au Wanajeshi wa DRC? na kama M23 kazi yao ni kuua raia je maeneo wliyokuwa wanayashikiria hayakuwa na raia?
 
UN coalition walitakiwa ku- block exit ya huyo jamaa kwa kutumia chopper, hawa watu sio wa kuchekea hivi.
Anyway I'm very proud of JWTZ, wazee wa kazi

images
 
Acheni kuandikiana habari za kijinga humu hivi M23 adui yao alikuwa na Raia na kama raia ni adui zao mbona maeneo waliyokuwa wanayashiria yalikuwa na Raia wengi tena sana mbona hawakuwaua? Msitake kuleta habari za UDAKU wanajeshi wetu wapo mstari wa mbele wa mapambano na ndio wanaoongoaza vita dhidi ya M23 na ndio maana wanauawa, mbona sijasikia wanajeshi wa Malawi au South Africa wameuawa?

Mimi na-qoute chanzo rasmi cha habari ambacho ni JWTZ nakuwaje Mdaku? Mdaku ni wewe unayeleta conspiracies zako bila ushahidi na kulazimisha uaminike. Hizo habari za kuwa JWTZ ndio wanaopambana we unazitoa wapi kigali? Tazama TV zote uone jinsi hao raia unaotaka tuamini walikuwa wanatetewa na M23 wanavyoshangilia FARDC na JWTZ. Habari zako wewe ndio za kijinga unless unaleta chanzo hapa!
 
Mimi na-qoute chanzo rasmi cha habari ambacho ni JWTZ nakuwaje Mdaku? Mdaku ni wewe unayeleta conspiracies zako bila ushahidi na kulazimisha uaminike. Hizo habari za kuwa JWTZ ndio wanaopambana we unazitoa wapi kigali? Tazama TV zote uone jinsi hao raia unaotaka tuamini walikuwa wanatetewa na M23 wanavyoshangilia FARDC na JWTZ. Habari zako wewe ndio za kijinga unless unaleta chanzo hapa!

Hapa tunazungumzia fact na sio kila habari inayotolewa basi uiamini lazima ujaribu kuushirikisha ubongo kwa karibu. Nauliza tena kama Lut. Rajabu alikuwa anazuia Raia wasipigwe risasi na hawa M23 ndio maana akauawa kwa nini hao M23 wasiwaue hao wananchi hata kabla hilo jeshi la DRC alijaingia katika maeneo hayo ambayo yalikuwa yanashikiriwa na hao M23?
 
Kazarama Vianney in Colline Jomba,
Ruhengeri, Rwanda

Kwa muda mufupi sikupatikana
kwenye mutandao wa facebook na
kwenye simu, sababu nilikuwa mahali
hakuna network, kwa sasa nimefika
mahali kuna network, Mutaanza pata
habari kwa wakati. hatukupigana,
tulijitosha katika maeneo zetu bila
kupigana, silaha zetu zote tulienda
nazo hakuna yenye tuliaca. Ingelukuwa
tulikimbiya hatugepata wakati ya
kubeba bitu yetu. sasa mutu mwenye
anayuwa fanya analyse, aifanye sasa.
1 kwa nini tilijitosha mumaeneo yetu
bila kupigana? 2 Tulienda wapi? 3
Tutabakiya kwenye tulienda ama
tutarundi, 3 Mbone FARDC haitufwate
kwenye tuko? 4 kwa nini Kabila
ameitika kuya zungumuza na japo
kuwa alisha tushinda? Mwenye kicwa
yake haitumike muzuri njo anaeza
fanya fete eti M23 imeshindwa. Kwa
marafiki, tuko tena tuko. Twasubiri
kyenye kitatoka Kampala kwenye
mazungumuzo, kama hakuna kizuri
kinatoka huko. Na FARDC FDLR, NA
MONUSCO inasubutu kuanza Vita tena,
PALE MUTAJUWA SISI NI WANANI.
 
Duh,,huyujamaa mtata sana,,,sindio walisema amejisalimisha uganda,,,,,sasa inakuaje tena
 
Kazarama Vianney in Colline Jomba,
Ruhengeri, Rwanda

Kwa muda mufupi sikupatikana
kwenye mutandao wa facebook na
kwenye simu, sababu nilikuwa mahali
hakuna network, kwa sasa nimefika
mahali kuna network, Mutaanza pata
habari kwa wakati. hatukupigana,
tulijitosha katika maeneo zetu bila
kupigana, silaha zetu zote tulienda
nazo hakuna yenye tuliaca. Ingelukuwa
tulikimbiya hatugepata wakati ya
kubeba bitu yetu. sasa mutu mwenye
anayuwa fanya analyse, aifanye sasa.
1 kwa nini tilijitosha mumaeneo yetu
bila kupigana? 2 Tulienda wapi? 3
Tutabakiya kwenye tulienda ama
tutarundi, 3 Mbone FARDC haitufwate
kwenye tuko? 4 kwa nini Kabila
ameitika kuya zungumuza na japo
kuwa alisha tushinda? Mwenye kicwa
yake haitumike muzuri njo anaeza
fanya fete eti M23 imeshindwa. Kwa
marafiki, tuko tena tuko. Twasubiri
kyenye kitatoka Kampala kwenye
mazungumuzo, kama hakuna kizuri
kinatoka huko. Na FARDC FDLR, NA
MONUSCO inasubutu kuanza Vita tena,
PALE MUTAJUWA SISI NI WANANI.


Mfa maji
 
huyu anatapa tapa sana. Mazungumzo yalivunjika sasa wanategemea kupata nini katika mazungumzo haya mapya?
 
Kazarama Vianney in Colline Jomba,
Ruhengeri, Rwanda

Kwa muda mufupi sikupatikana
kwenye mutandao wa facebook na
kwenye simu, sababu nilikuwa mahali
hakuna network, kwa sasa nimefika
mahali kuna network, Mutaanza pata
habari kwa wakati. hatukupigana,
tulijitosha katika maeneo zetu bila
kupigana, silaha zetu zote tulienda
nazo hakuna yenye tuliaca. Ingelukuwa
tulikimbiya hatugepata wakati ya
kubeba bitu yetu. sasa mutu mwenye
anayuwa fanya analyse, aifanye sasa.
1 kwa nini tilijitosha mumaeneo yetu
bila kupigana? 2 Tulienda wapi? 3
Tutabakiya kwenye tulienda ama
tutarundi, 3 Mbone FARDC haitufwate
kwenye tuko? 4 kwa nini Kabila
ameitika kuya zungumuza na japo
kuwa alisha tushinda? Mwenye kicwa
yake haitumike muzuri njo anaeza
fanya fete eti M23 imeshindwa. Kwa
marafiki, tuko tena tuko. Twasubiri
kyenye kitatoka Kampala kwenye
mazungumuzo, kama hakuna kizuri
kinatoka huko. Na FARDC FDLR, NA
MONUSCO inasubutu kuanza Vita tena,
PALE MUTAJUWA SISI NI WANANI.

Kwa maana hio wewe ni kiongozi wa M23/ Eleza inakuaje unakuja ku mutandao na kuandika tofauti na serikali mu kongo/ Kama mulijitosha sehemu yenu muzuri kwann mwakimbia/
Je unadhani nini kifanyike ili amani irejee mu Congo??
 
mimi nacheka mumoyo.nimefurahi vye mu 23 mumepigwa.
 
Kama mliamua kutopigana tu na kujitoa kwa amani mbona hakuna tena eneo mnaloshikilia?
Maeneo yote yametekwa utaweza kupigana bila kuwa na organized Army?
Hawa m23 wamekwisha labda kama wataanzisha vita mitandaoni!!!!!!
 
kisoda cha tanzaniya kimebatosha mavi.ummekimbilia mumaporo mtaikala huko kama minyama.uliza museven na kagame banayua gisi kisoda ya tz ilivo na ngufu ya mingi. Bamewakamata ka inswa.
 



Kwa muda mufupi sikupatikana kwenye mutandao wa facebook na kwenye simu, sababu nilikuwa mahali hakuna network, kwa sasa nimefika mahali kuna network, Mutaanza pata habari kwa wakati. hatukupigana, tulijitosha katika maeneo zetu bila kupigana, silaha zetu zote tulienda nazo hakuna yenye tuliaca.

Ingelukuwa tulikimbiya hatugepata wakati ya kubeba bitu yetu. sasa mutu mwenye anayuwa fanya analyse, aifanye sasa. 1 kwa nini tilijitosha mumaeneo yetu bila kupigana? 2 Tulienda wapi? 3 Tutabakiya kwenye tulienda ama tutarundi, 3 Mbone FARDC haitufwate kwenye tuko? 4 kwa nini Kabila ameitika kuya zungumuza na japo kuwa alisha tushinda? Mwenye kicwa yake haitumike muzuri njo anaeza fanya fete eti M23 imeshindwa. Kwa marafiki, tuko tena tuko.

Twasubiri kyenye kitatoka Kampala kwenye mazungumuzo, kama hakuna kizuri kinatoka huko. Na FARDC FDLR, NA MONUSCO inasubutu kuanza Vita tena, PALE MUTAJUWA SISI NI WANANI
.

— at Bunagana, Democratic Republic of the Congo.
 
Hii pia ni mbinu ya kivita. Muhimu bila shaka wakubali kuwa imebaki historia
 
Back
Top Bottom