Mimi ninampenzi wangu ila tuko mbali huwa tunawasiliana tu,,tatizo ni kwamba nilikuwa nikimpigia sim hapokei kwa takriibani wiki mbili hivi baada ya hapo alinipigia sim nakunieleza eti alikuwa ananipima kama ninaupendo wa kweli kwake.
Naomba ushauri hivi hii nikweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.