Wote waliokopa heslb inawahusu!

Wote waliokopa heslb inawahusu!

Walipe kwanza watu wa EPA, KAGODA na Richmond then sisi tutafuata la sivo halipi mtu hapa
 
Hivi ni kwanini ilionekana walipe deni wa kuanzia 1994? ..mwenye sababu za msingi jamani,kwanini isiwe kuanzia 1966?
 
Mimi kazi sina, mkwanja sina na demu wangu kanitosa. Sa nitapata wapi hiyo pesa ya kurudisha? Liwalo na liwe!
Nadhani hilo ndio linakuuma zaidi kuliko kukosa kazi
 
Aaah, sijui watanipatia wapi?! Hii hairudi hata wafanyaje.......Kila kitu feki feki, jina feki, account feki, chuo feki na collateral asset feki, cheti cha kuzaliwa feki........kazi ipo
 
serikali yako imelipa mangapi inayodaiwa?
watu wanakukata PAYE 700,000 halafu wanataka uwalipe tena ...........usinitakie burn baba

C ndo hapo!na hivi ckuweka rehani chochote wasahau!kwanza ni haki yangu,wazazi wangu wamelipa kodi
 
Hana jipya huyo kwani mbona hasemei waliokula MABILIONI YA KIKWETE ambayo zilikuwa ni hela za walipa kodi,anakuja kuzuga kwa watu wasiokuwa na matatizo,hili hata kama asingesema watu watalipa coz utaratibu uliwekwa kuwa wahitimu waliokopa hizo hela wataanza kukatwa/ kurudisha hela hizo baada ya mwaka so yeye anaingilia nini au ndo anaonyesha ni jinsi gani alipata udokta???????????

We msaka nini!! Kwani aliwakopesha yeye kwa mkono wake!
 
Back
Top Bottom