Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
hata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu hawana faida yoyote kwenye jamii, ona walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia nyie acheni tu.
Siamini kama hii ni 2013
hata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu hawana faida yoyote kwenye jamii, ona walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia nyie acheni tu.
hata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu hawana faida yoyote kwenye jamii, ona walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia nyie acheni tu.
Baada ya wizara ya elimu kutangaza ajira mpya za walimu na kutakiwa kuripoti wilayani, katika hali isiyo ya kawaida kuna mwalimu baada ya kuripoti wilayani apelekwa usiku baa alipokua mwalimu mkuu akipata kinywaji ili ampeleke kituo cha kazi ambapo ni umbali mrefu.
Je ni halali kumkabidhi mwalimu usiku na sehemu ambayo ni ya starehe na si kituo cha kazi, hivi sasa yule mwalimu mkuu ana kesi inadaiwa kuwa alimbaka yule mwalimu.
Je kosa lipo kwa nani hapo mwanajamii mwenzangu mwalimu mkuu au afisa elimu wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya.
Ahsanteni
Chibolo...id yenyewe utata.!!
Baada ya wizara ya elimu kutangaza ajira mpya za walimu na kutakiwa kuripoti wilayani, katika hali isiyo ya kawaida kuna mwalimu baada ya kuripoti wilayani apelekwa usiku baa alipokua mwalimu mkuu akipata kinywaji ili ampeleke kituo cha kazi ambapo ni umbali mrefu.
Je ni halali kumkabidhi mwalimu usiku na sehemu ambayo ni ya starehe na si kituo cha kazi, hivi sasa yule mwalimu mkuu ana kesi inadaiwa kuwa alimbaka yule mwalimu.
Je kosa lipo kwa nani hapo mwanajamii mwenzangu mwalimu mkuu au afisa elimu wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya.
Ahsanteni
Hivi inawezekana kumbaka mwanamke mtu mzima?
Nimekupata kiongozi nikumbushe adhabuTANZANIA PENAL)CODE
CHAPTER XV
OFFENCES AGAIST MORALITY
Defition of rape. 130. Any person who has unawful carnal knowledge of woman or girl without her consent, or with her consent, if the consent is obtained by force or by means of threats or by intimidation of any kind, or by fear of bodly harm, or by means of false representation as to the nature of the act, or, in in the case of a married woman, by persolanaliting her husbabd is guilty of felony termed "rape".
Je unakumbuka adhabu yake? Kama ni ''hapana', naweza kukukumbusha ili 'usitumbukie' ndani ndugu yangu.
Nimekupata kiongozi nikumbushe adhabu
Kibolo na wewe umezungusha nini