G9T Dear mwaaa!!!!!!!! Yaleta kizaazaa

G9T Dear mwaaa!!!!!!!! Yaleta kizaazaa

Huyo dada ni Simba damu na kashacheza na Libolo ya Angola.
 
Hapo umenena simu ya mwenza wako ya nini kurukia rukia unaweza kukutana na mambo ya ajabu kama una oresha ukashuka ikawa kwa heri,manake inawezekana kweli mnapendana sana lkn siku hiyo ikawa balaa tena siku hizi kuna jumbe nyingi wanatumiana watu haijalishi ni m'mke au m'mme ni tabu kweli kweli.
 
wivu tu wa kijinga
gnite dear mwaah inashida gani bwana mbona watu wanabusiana shavuni tu
mwahh haimaniishi kisspeke yake ni distance good wishes pia
aache ushamba na wivu wa kitoto
kama anampenda wala hilo sio kigezo cha kutomwelewa mwenzake.
labda nae huwa anagegeda nje ndio maana anahisi menzake nae yuko hivo.
mwambie mwenzio akae kimya kama atampenda atarudi kama hampendi asilazimishe atapata wa ukweli mbeleni
 
Ila people gotta be careful sana na hizi biashara za SMS, maana zinatumika purposely katika kuharibia watu wenye mahusiano yao. Na si wanaume wala wanawake yaani ni kama lipepo fulani hivi.

Sawa sishauri uignore ushahidi wa SMS lakini usiufanye kama ushahidi toshelezi. Kwa case kama hiyo, sidhani kama mtu anaiba na yule mwizi anajua kuwa anaiba hawezi kutuma SMS usiku wakati anajua yuko na mwenye mali. So kam katuma kuna mawili:-
1. Amedanganywa kuwa yuko peke yake au
2. Ameamua kuharibu tu.
lakini kwa maprofessional Other Man/Woman hawezi hata siku moja kuharibu.
Kaunga ...are you trying to say that..ungekuta msga kama hiyo kwenye simu ya shemeji 'husingemind kiviiile'?

One thing I have noticed kwenye mahusino ni kuwa...mwanaume akibambwa with such msgs..he is cheating! Hata asemeje haaminiki, hata kama mdada atasemehe atakuwa amesamehe huku akimini mpenzie kacheat. BUT...mwanamke akibambwa na similar msgs...basi sio ushahidi tosha, kuna explaination behind it...!!!???
 
Last edited by a moderator:
Kaunga ...are you trying to say that..ungekuta msga kama hiyo kwenye simu ya shemeji 'husingemind kiviiile'?

One thing I have noticed kwenye mahusino ni kuwa...mwanaume akibambwa with such msgs..he is cheating! Hata asemeje haaminiki, hata kama mdada atasemehe atakuwa amesamehe huku akimini mpenzie kacheat. BUT...mwanamke akibambwa na similar msgs...basi sio ushahidi tosha, kuna explaination behind it...!!!???

You are right hapo kwenye bold, na sijui ni kwanini. Imagine the way ninavyotaniana na kuflirt na watu humu ndani, ninajiamini lakini nikiona hata robo ninayoyaandika mimi kaandika mtu wangu kwa mdada tayari napata wasiwasi na simuamini amini sijui kwa nini? Is it because inaaminika kuwa mwanaume kushinda vishawishi ni ngumu kuliko sisi; je mdada akiflirt halafu akakutokezea wazi can you be able to say NO maana sisi wanawake kusema no ni rahisi na hatutadhaniwa kuwa tuko weak au hatuko wazima kama ninyi?
 
Is it because inaaminika kuwa mwanaume kushinda vishawishi ni ngumu kuliko sisi; je mdada akiflirt halafu akakutokezea wazi can you be able to say NO maana sisi wanawake kusema no ni rahisi na hatutadhaniwa kuwa tuko weak au hatuko wazima kama ninyi?

Sidhani kama uko right hapo Kaunga...sababu wanaume huflirt na wanawake, na mara nyingi sana huflirt na wanawake walio kwenye mahusiano (sijui kwa nini..but in a strange way it make the 'flirting' more interesting). Na kutokea hapo kwenye flirting, mengine yaweza fuatia...sasa huo ugumu wa kusema NO uko wapi wakati kila siku kuna wadada (walio kwenye mahusiano) wanaliwa na wanaume (walio/wasio kwenye mahusiano) kutokana na flirts!
 
Last edited by a moderator:
haya mambo huwa yanatokea... huyo jamaa kama kweli anampenda demu wake basi hiyo sio sababu ya kuachana... sisi wanaume smtyms ni ving'ang'anizi sanaa... Aendelee kumuelewesha tuu bila kuchoka.
MOn'goO wewe wanena. Yanatokea hata kwa wanaume - kuna shoga yangu nae alikuta sms kwenye simu ya mumewe toka kwa mwanamke anayefanya kazi na mumewe, message iliandikwa "good night dear" mume kuulizwa kasema eti huyo binti huwa anamsumbua. Vinganganizi vipo left, right and centre; Cha kuomba ni kuwashtukia mapema, kukaa nao mbali na kutowapa nafasi
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi huendana na Bp kwa kweli kusingekuwa na nye,ge mi nisingehusika na mahusiano kabisa.Kwa kweli nye,ge zinanilet down wajemeni
 
Haya mapenzi ya digitali ni kizunguzungu mwanzo mwisho. Kama huna roho ya paka unaweza kushtakiwa na jamhuri kwa jinai. Bora enzi zetu za S.L.P. Utakuta mtu kakosea kutuma msg (wrong number) au mtu ana visa na wewe anaamua kukuandikia msg ya kukuharibia mara mwandani wako anaifuma bila wewe kujua, lazima pachimbike kabla ya maelezo..
 
Na akome,mie mwenyewe siendekezi upuuzi ka huo,mnachukulia kigezo cha uzungu na kutokua na wivu kumbe wenzenu wanafanya kweli,shtuka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom