mwabaluh we mchovu mi simba we chui,mistar yako imekosa nyama ka miguu ya buibui,we kwangu ni kama mtoto kwa mama yaan hakui,simaanishi kwamba hujui,ila me ni kubwa lako ka ni kombe huchukui,mistar yangu inaladha zaid ya la nazi tui,halafu cha ajabu unajifanya hunijui,...